last fatma
Member
- Sep 6, 2016
- 5
- 7
Nawapenda wote jamani nipokeeni kwa furaha kwa kuanza na neno "NAKUPENDA PIA"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante Ila acha uchoyo banaaaaa sio lazima.
ila karibu
wakharibishwa yahee!Nawapenda wote jamani nipokeeni kwa furaha kwa kuanza na neno "NAKUPENDA PIA"
Karibu jf
asante sanaKaribu jf
Sasa tutampokeaje mtu ambae hatujamwona!!!picha tafadhali ili upokelewe!!Nawapenda wote jamani nipokeeni kwa furaha kwa kuanza na neno "NAKUPENDA PIA"
Wewe huweki yako?Sasa tutampokeaje mtu ambae hatujamwona!!!picha tafadhali ili upokelewe!!
Don't be over confident [emoji15]last seen
gender yako female
hapo nitajibu NAKUPENDA PIA!
karibu ulimwengu wa jf he he he
najuaDon't be over confident [emoji15]
Fanya yale manungulinunguli alafu unipe majibu ni he or sheDon't be over confident [emoji15]
Mi kipindi kile nilipojiunga nilipost na picha yangu kwa utambulisho zaidi!!Wewe huweki yako?
hahaaaa athantelast seen
gender yako female
hapo nitajibu NAKUPENDA PIA!
karibu ulimwengu wa jf he he he
Ni bingwa wa kukaribishaKaribu sana jamvini
Nani huyoNi bingwa wa kukaribisha
WeweNani huyo