[emoji1] [emoji1] [emoji1] fursa hzoInna ashakuwa mwenyeji wa Don tayari kwenye uzi huu huu mkuu.
Lolote laweza tokea mkuu hapa jf ss ni wakarimu sanaHeeeh! Vp wataka kunitumia pesa kwa njia ya simu nini?
[emoji15]Basi ngoja nikutumie haraka
Karibu mkuu ss wahenga hatunaga shida karibu sanaBasi ngoja nikutumie haraka
Hata kwenye maisha yako nje ya Mitandao ya kijamii ni mchangamfu namna hii?Wasalaam!
Nimekuwa mgeni wa jf kwa muda, sasa nimeamua kujiunga nanyi rasmi. Naomba mnipokee,mnielekeze na kuniongoza wenyeji wangu.
Mkuu mbona umenuna[emoji15]
Vp kwani na wewe ni mgeni kama mimi? Mi mwenzio sioni aibu kuuliza njia
Aisee nafurahi kukufahamu,kweli jf ndo mambo yote najuta kuchelewa kujiunga, kumbe na mikopo mnatoa?Karibu sana mareth, Mimi naitwa michie kama unavyoona hapo juu nipo JF kitengo cha SACCO'S.
Ni Dm nikupe taratibu za mikopo kwny nyumba yetu pendwa ya JF.
Usijali rafiki kwa lolote karibu. Milango iko wazi.Asante kwa kunitahadharisha mpenzi! Hakika u rafiki mwema. Maneno yako daima yataniongoza hapa
Karibu.Asante sana rafiki mwema!