Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji106] [emoji106] [emoji106]Asante sana mkuu
Nimeshangaa tu umepewa maelekezo huko chumbaniVip tena?
Mkuu huyo ni mgeni asee unapoelekea mbelen[emoji40] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Oukay , but naona km kuna haja ya kukaweka kapicha kako hapa ,ili nikatunze ,siku zauzeee Wetu niwaonyeshe watoto namna gan mama yao alikua akifanana enzi za ujana wake.
Kwahyo Usha faham mrembo?Ndio walitaka eti niwa pm wakati nilikuwa hata sijui kupm
Hatukai mbal na fursa mzeeWazee wa fursa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa sawa mkaribisheniHatukai mbal na fursa mzee
Mdogo wangu unajua kwenda na fursaJitahidi
Kwema maamaNipo baba kwema?
NimekumisiiiiiiiiiNipo baba kwema?