Pilato 007
JF-Expert Member
- Sep 6, 2017
- 447
- 470
Mengi chumbani sio!?Anakonipeleka siko nini?
Ila namshukuru kanifunza mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mengi chumbani sio!?Anakonipeleka siko nini?
Ila namshukuru kanifunza mengi
Njoo pm kuna zawadi yako ya kufauru huo mtihaniNdio nimefahamu! Asanteni kwa kunishika mkono kunivusha katika barabara hizi za jiji la jf
Vp si umeshajua kutumia pm vizuri!?Asante sana mwenyeji wangu
Si unajua hiz fursa ukiziacha tena utalala njaaMdogo wangu unajua kwenda na fursa
Kunae zawadi hutolewa kila mwezi kwa wageni kama nyieHeeh! Hiyo fursa iko wapi na mimi niisogelee?
Iko pm njooHeeh! Hiyo fursa iko wapi na mimi niisogelee?
Usijali mwaya. Umakini wako tu shoga.Asante sana mamy
Utazielewa tu mdogo wangu Siku zinavoenda utaelewa kwann wanakua wakarimu hvyooJamani hiyo fursa ni ipi mbona mgeni mmeniacha njia panda?
Mambo...nkuelekeze me ntakua mwenyeji wako usijalKuna ile mnakuwa wageni wote ila unashangaa mwenzio maeneo anayajua.
Nahisi ndo inanikuta hapa.
Hapana ni majina kufanana tu mamito.Asante!
Hivi wewe ndo yule mzee 900 itapendeza?
Mambo...nkuelekeze me ntakua mwenyeji wako usijal