Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Ooh! Karibu mgeni mwenyeji. Ngoja tuendelee kujifunza taratibu za hapa tusije tukawakera wenyeji wetu
Ha ha ha, poa.
Nishapata ticha tayari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh! Karibu mgeni mwenyeji. Ngoja tuendelee kujifunza taratibu za hapa tusije tukawakera wenyeji wetu
Heeh! Kumbe kuna na mamonitor hapa?
Basi nami naomba kura yako niwe monitress
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]chumbani tena?
Mod upo?!umepotea kiongozi
Nimekupenda bure, sababu ya uchangamfu wakoHahahaaa kiasi chake
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Usijali mwaya. Umakini wako tu shoga.
HahahahahahaaaaYaani sisi wanaume wa jf ni wakarimu sana. Dada kapiga hodi alivyokaribishwa kwa bashasha hadi amefurahi kinoma. Sasa mwanaume apige hodi jf watu wanampita kama hawamuoni
Karibu sanaWasalaam!
Nimekuwa mgeni wa jf kwa muda, sasa nimeamua kujiunga nanyi rasmi. Naomba mnipokee,mnielekeze na kuniongoza wenyeji wangu.
Nitumie tu kwakweliVp tena? Na wewe nikutumie namba unitumie vocha? 900 tu itapendeza
[emoji1] [emoji1] [emoji1] fitina mkuuMkuu mbona umenuna
Pole mkuu [emoji12] [emoji13] [emoji56][emoji1] [emoji1] [emoji1] fitina mkuu
Asante mkuuPole mkuu [emoji12] [emoji13] [emoji56]
Mamy humu wanga wengi,mie sikubali kuwa kaa nakataa tabia za mdudu kaa.Ohooo!
Wewe una wako nyumbani,
Yeye ana wake nyumbani,
Fitina ya nini kati yenu?