Hodi wanajamii

Hodi wanajamii

Mimi nachukia sana ufisadi, hasa ukizingatia ulivyolitafuna taifa letu kwa kiasi kikubwa. adha, dhiki na shida zinaaowapata watanzania chanzo chake ni ufisadi
 
Mimi nachukia sana ufisadi, hasa ukizingatia ulivyolitafuna taifa letu kwa kiasi kikubwa. adha, dhiki na shida zinaaowapata watanzania chanzo chake ni ufisadi

.
Kwa mamlaka niliyopewa hapa jamvini ya kukaimu dharura zote, nakukaribisha. Jisikie upo ukanda huru wa kutoa mawazo.
 
Mimi nachukia sana ufisadi, hasa ukizingatia ulivyolitafuna taifa letu kwa kiasi kikubwa. adha, dhiki na shida zinaaowapata watanzania chanzo chake ni ufisadi
Karibu, sasa kwakuwa umesema upande wapo basi ni ruksa kuvote kwenye box juu ya nani afaa kuwa presida 2010-2015
 
Nimekuwa nikifatilia sana hii site, na nimeona inafaa sana, naomba kuwajoin

kwanza karibu sana! Ila nadhani sababu ya ugeni umepotea njia lipo jukwaa la utambulisho! Usihofu invisible akusaidia kurudisha kwenye jukwaa husika. mod hii inabana nafasi hapa!
 
Back
Top Bottom