Hodi wanaJamiiForums

Hodi wanaJamiiForums

Weeee mwenyeji coz mgeni awezi juwa jukwaa la new member, id yako ya zamani ni gani
Kwani hapo kumeandikwaje? Yaan kufuata tu maelekezo kunishinde
Snapchat-2143540609.jpeg
 
Kwanini picha ya ofisi yako ulitumiwa kwa njia ya whatsapp na haukutumia simu yako katika upigaji picha
Alipigwa mteja na mm ndo nikaipata,,huoni nilikuwa nazungumza nae
 
Mgeni jitahidi kuweka picha nzuri unatutisha tutakuachia jukwaa ndo mipicha gani hiyo dah we kiboko
 
Back
Top Bottom