Hodi wanaJF

Hodi wanaJF

Karibu bwana mimi ndiyo askari wa ukaguzi.
Ni vyema ukajitanabaisha kw
- jinsia
na barua ya kujiunga ikiwa na passport tatu kubwa za fremu bila kusahau simu/pc unayotumia ili tukuunganishe na server za kiumeni
Naona umeanza uchochezi Shem
 
Abhasukuma wanatuona washamba sana.
Mimi naishi bariadi mjini...najua tabia zenu watu wa uko darisalama nimesimuliwa mna madharau.
Ndo mana hamuli ugali.
Bariadi wajanja sana wakiwakilishwa na cheyo na chenge[emoji12] [emoji12]
Nasikia huko kuna jiji kubwa kuliko NewYork linaitwa gamboshi ila linaonekana na wenyewe tu.[emoji28]
 
Bariadi wajanja sana wakiwakilishwa na cheyo na chenge[emoji12] [emoji12]
Nasikia huko kuna jiji kubwa kuliko NewYork linaitwa gamboshi ila linaonekana na wenyewe tu.[emoji28]
Hahaha mimi nipo bariadi mjini kwa wajanja.
Tunafuga n'gombe na tunalima mavitunguu...nyie mnaokaa darisalama kazi yenu umbea tuu..hamna mifugo kazi yenu mnafuga tunjiwa
 
Kumbe unatokea bariadi kwa chenge. Halafu madisko yenu mmezungusha miti ya alizeti mnaingia kwa kiingilio. Heheee..
[emoji3][emoji3] ukitaja chenge unakosea.
Sema mtemi chenge kama alivyo mtemi deogratias kisandu.
Alafu acha dharau.
Ilo disco unalosemea ww wanafanya ivyo koromije..bariadi tumeendelea
 
Back
Top Bottom