Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwangu maswali ni jambo jema tu wala haina shidakuna watu wanamaswali humu ila vumilia tu mdogo wangu
Ninazo nyingi sana sijui nikutajie ipi inayokupendeza?ID yako ya zamani ni ipi!?
Si kuna ile unatumia Jina la kike!?Ninazo nyingi sana sijui nikutajie ipi inayokupendeza?
Ngoja nikamilishe taratibu za kiserikali kwa afisa mtendaji wa mtaa ili zipigwe na muguri kabisa kisha naziwasilisha kwako rasmi mtukufu mkuu wa jf.Weka picha yako halisi..na passport size mbili..
Ndiyo mkuu ndugu yangu, ipo na hiyo piaSi kuna ile unatumia Jina la kike!?
Karibu sana Mkuu Manyota... Japo ni nyoka uliyejivua GambaNdiyo mkuu ndugu yangu, ipo na hiyo pia
Duuu! Watu wengine mna maneno aisee! Basi sawa.Karibu sana Mkuu Manyota... Japo ni nyoka uliyejivua Gamba
mesema basi jinsia gani
muramu inatumika kwa me na keila jina la ke???
Niko mimi baada yake, kaenda kwenye Mei Mosi.Ukhuty kulikoni?mbona leo hujawasili huku kuja kumkaribisha mgeni??🙂🙂🙂
Feel at home son...Duuu! Watu wengine mna maneno aisee! Basi sawa.
Karibu sana mkuuNinayo furaha kuuungana nanyi humu ndani ili kuweza kushiriki nanyi mijadala mbalimbali.
Nawashukuruni nyote.
Wenu ktk mijadala,
muramu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]Niko mimi baada yake, kaenda kwenye Mei Mosi.