Asalaam Alekyum waungwana wote wa baraza hili maridhawa kabisa.Naomba kubisha hodi kwa mlango wa nyuma ili nijumuike nanyi katika kuperuzi na kudadisi mambo yanayojiri katika dunia yetu.
Naomba kuwasilisha wanabaraza!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.