Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante
niko tz dsm
Heheh...naona leo upo getini
haya.. Heaven on earth tuhuma zangu ni zipi mbona ivyo.......mmmh?:tape:
wacha kabisa..siku moja moja nakusaidia, huenda nami nikabahatisha bana
yaani ungesema we ni me Kaizer ukaribisho wake ungeishia hapo juu
wacha kabisa..siku moja moja nakusaidia, huenda nami nikabahatisha bana
Makubwa !!! karibu sana
hivi kwa nini unansingizia Heaven on earth...nimeshakaribisha watu wengi sana..angalia join date...baada ya kusema hayo, nikukaribishe moja moto moja baridi sehem utayochagua leo TGIF
Halafu we kichunda siku waingia ulikuwa na furushi la mapera halafu kwapani una jogoo amejibanza.
Yaani ulikuwa kashamba kashamba fulani hivi hahahah
sa hivi utanijua ndio yule nilikuja na gauni langu la marindaa
kweli mjin shuleee