hodi wenyewe

hivi kwa nini unansingizia Heaven on earth...nimeshakaribisha watu wengi sana..angalia join date...baada ya kusema hayo, nikukaribishe moja moto moja baridi sehem utayochagua leo TGIF

h
kwa haya maneno yako siendelei hata kusema lolote....,umenibribe vibaya aisee

nakuja sasa hivi
 
bahati ya watu8 usilalie mlango wazi............

Halafu we kichunda siku waingia ulikuwa na furushi la mapera halafu kwapani una jogoo amejibanza.
Yaani ulikuwa kashamba kashamba fulani hivi hahahah
 
Last edited by a moderator:
Halafu we kichunda siku waingia ulikuwa na furushi la mapera halafu kwapani una jogoo amejibanza.
Yaani ulikuwa kashamba kashamba fulani hivi hahahah

sa hivi utanijua ndio yule nilikuja na gauni langu la marindaa

kweli mjin shuleee
 
mwallu mrembo karibu sana.

Ama baada ya ukaribisho nikukaribishe pia kwenye saccos yangu ujisikie upo nyumbani.

Moja ya benefits ni kupata promotion kuwa shareholder...karibu tena.

Cc: shemeji Kaizer...asante kwa kuniita. Af dada anakuita...log off.
 
Last edited by a moderator:
asante Mentor
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…