Karibu sna mzee wngu kikubwa hapa siku hizi kumekuwa na watoto wengi na kukosa heshima najua kwa umri sio tatizo hizo ni changamoto za kawaida karibu sna kwenye jukwaa...Habari za saa hizi waungwana. Nawasalimia.
Naomba wahusika napenda niwe verified member. Hio ni picha yangu halisi na jina ni langu halisi.
Ahsanteni.
Kwa email support@jamiiforums.com au watumie ujumbe inbox hawa watu JamiiForums Invisible Moderator
KITAMBULISHO CHA TAIFA NI SAWA KABISA MKUU
Mmh itakuwa ombi lako bado halijashughulikiwa...ndani ya Siku 1-3 freshNimetuma
Nimetuma kama ulivyonielekeza na picha ya kitambulisho cha taifa lakini naona kimya. Hua inachukua muda gani kuwa verified?
Mzee Abdul GNaona ni vyema tukajuana maana kuna wengi nafanya nao biashara kupitia hapa lakini hatujawahi kuonana.
Manufaa yakeVerified users hatulipi mkuu...wale Premium BRONZE, GOLD, PLATNUM na TANZANITE MEMBERS ndio huwa wanalipa Ada kila muhula
Soma post #19 hapo juu..japo sina hakika kwa 100%Manufaa yake
AsanteSoma post #19 hapo juu..japo sina hakika kwa 100%
PoaAsante
Mzee Abdul G
Unafanya biashara gani? naomba kufahamu Kama hutojali
Vuta subira na uendelee kuwakumbusha tenaKuna namna nyingine ya kuwajulisha wahusika? Nimetuma pm kama nilivoelekezwa lakini naona mpaka leo bila bila.
Ammy habari za miaka
Kama unatumia desktop utaona staff walio online upande wako wa kulia hao hao wa PM wote naiman mmoja wao atakujibuNaomba majina ya wahusika humu niwatumie pm.