Habari za humu ndani? nafurahi sana kwa kujiunga na jamii forum.. I hope kuwepo kwangu hapa nitajifunza mambo mengi na kufahamu mambo mengi pia...
Ila sijaielewa forum moja hapa JF.. Forum hii inaitwa MAMBO YA KIKUBWA.....
Hii forum inahusu nini hasa???