hodi

hodi

eity 4

Senior Member
Joined
Dec 7, 2014
Posts
148
Reaction score
209
jamani mwenzenu mgeni humu ndani, naomba mnionyeshe vyumba nisije ingia vyumba vya wakubwa
 
jamani mwenzenu mgeni humu ndani, naomba mnionyeshe vyumba nisije ingia vyumba vya wakubwa

Wewe unapiga hodi wakati tayari umefika chumbani???

Piga hodi ukiwa barabarani hata kabla hujafika getini...
 
Karibu,XXX ndio shemeji yako,mazoea nae sitaki....
 
Karibu pita hadi chumba cha siasa, ndio sebule yako halafu utalala chumba cha elimu. ahsenti
 
Back
Top Bottom