boss rugeAsante sana. Nimeishakaribia. Ndio nani huyo?
Shukran mkuu bonyobonyo. Midhali hapa nyumbani hatujawa na msamiati wa gender neutral, itabidi tuendelee kuamini kwamba wanajamvi wote ni aidha mabibi au mabwana. Nashukuru kwa kuniasa.hali yako ndugu huku hakun mabibi na mabwana ni wasiojulikana tu
Naona hili ndio jukwaa lako pendwa [emoji23]Karibu