hodihodi wandugu

SAKO LA NYANI

New Member
Joined
May 17, 2013
Posts
3
Reaction score
1
kama kichwa cha habari kijielezeavyo. naomba mnikaribishe kwa mikono miwili ndugu zangu katika hili jukwaa. Nimekuwa mfuatiliaji wa siku nyingi lakini sikuwai kujiunga hadi leo hii nikaamua kukata shauri. Ni matumaini yangu mtanijenga pia hata kimtazamo katika harakati za ujenzi wa Tanzania ile tunayoifikiria tulio wengu, Tanzania ya maisha bora ambayo bado tunaipigania.
 
Karibu mkuu hapa jamvini hapa jisikie huru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…