wambushi binti
Member
- Oct 13, 2014
- 15
- 5
Jamani wapendwa nipokeeni, naipenda sana jf saana yaani siwezi elezea ni kwa kiwango gani.
Naitwa Regina Mbushi
My no. 0753 661798
Naitwa Regina Mbushi
My no. 0753 661798
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
krb sana JF.....
Wakaribishwa sana..
Karibu sana JF...
Yaani unakaribisha wageni usiku wa manane? Utaitikia mashetani, shauri yako
Nimeamka kufanya maombi ndio hamadi mgeni agonga...
Si nikajua ni malaika wa Bwana kaja kuchukua maombi...
Hahaha haya mie nimeamka kula daku niwahi folenini
Sasa wewe ndio una hatari ya kukutana na vibwengo nje huko.....usiku wote huu foleni ya wapi tena hahah!!!
Nakaa mabwe pande kaka. Na kutembea hadi kituoni ni lisaa limoja na robo. Hadi nipate daladala la kwenda mbagala?
Jamani wapendwa nipokeeni, naipenda sana jf saana yaani siwezi elezea ni kwa kiwango gani.
Naitwa Regina Mbushi
My no. 0753 661798