Hahahhahahah hatari nimefurahi sana nitafika one day japo nimelala mara kadhaa huko kwenye vyumba vya dable bed 80kKARIBU ORION HOTEL tukuhudumie. ni kati kati ya mji. jiranj na stesheni ya treni, karibu na vyuo: uhaziri na TTC. waweza kubarizo jioni na kujisigeza chuoni kubadili mawazo na wanachuo jinsi zote. wadada wakarimu sana; siku 4 hazutakutosha kwa ukarimu wao (kumbuka hapo ndio utakutana na wanyamwezi-pacha wa kulee kwa wabonde)
hotel ina usalama, fanya uwezavyo utembelee mitaa ya kanyenye, isevya na minazi mikinda. huko ndiko utajua mapya ya tabora.
BONEKAGA NGALU!!!
Hongera mkuu, vipi watoto umewaona hapo, au unaona shepu za kisukuma tu!Mkuu nimepata lodge nzuri sana kwa bei chee pana utulivu wa hali ya juu mitandao H+ ni kukaa kwenye jukwaani hadi basi
Mimi ndiyo nakuuliza, hapo ulipofikia kuna totoz? Au kumejaa wasukuma.Kwa hiyo kwenye hivyo vyuo kuna totozi za kumwaga
Wasukuma ni watu poa sana mkuu! Hawana makuu.Hahhahahahha naona wasukuma wanapita road na mikaa mkuu
Hapo umesema mkuu ngoja nitafute mwenyejiWasukuma ni watu poa sana mkuu! Hawana makuu.
Nilikuwa hapo tabora mwaka 2017, kuna watoto wa kinyamwezi + usomali fulani amazing.
Inahitajika conection kuwapata, tofauti na hapo utawapata waliotumika sana.
Kondomu muhimu
Sehemu gani hiyo?Inaitwa green light lodge mkuu tsh 20
Si unaisemea kama unataka kwenda uwanja wa mwinyi karibu kabisa na stendi barabara ya skongeMjini kati
Utatoka Dar asbh saa 12 utaingia Igunga si chini ya saa 12 tochi ni nyingiIvi jamani kutoka Dar hadi Igunga pana umbali gani kwa kusafiri kwa basi,nina safari ya kwenda uko Igunga wiki ijayo
Ok,na nauli yake ni kiasi ganiUtatoka Dar asbh saa 12 utaingia Igunga si chini ya saa 12 tochi ni nyingi
30 elfuOk,na nauli yake ni kiasi gani
Nikitumia usafiri binafsi naweza kutumia masaa mangapiUtatoka Dar asbh saa 12 utaingia Igunga si chini ya saa 12 tochi ni nyingi
Hesabu unaweza ku drive massage mangapi kutoka Dar to Moro then Moro to Dom then Dom to Singida kwa speed yako unayoijua. Maana Moro to Dom haitofautiani sana na Dom to Singida kote ni three hours kwa basi. Kipande Cha Singida Igunga sio kirefu Igunga Ni Wilaya ya mkoa wa Tabora inayopakana na mkoa wa Singida...ukifika Misigiri unashuka sekenke unaingia sherui then unatafuta Igunga kwa uraini tuNikitumia usafiri binafsi naweza kutumia masaa mangapi