Hodii

Hodii

Nimekuwa mfuatiliaji mwezi mzima nimeona na mie nijiunge, rasmiii.

Naombeni mnikaribisheee jamani.
Karibu sana mkuu, kwa namna ya kutumia JF kwa ufasaha zaidi unaweza kuja PM kwangu
 
bado bado aseee huo utani pro max πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ww hujawahi kuambiwa mwanaume humu?? Yani JF mtu chochote anachojisikia kukwambia yy anakwambia.!! Mi nishawazoea na tunataniana sana wala sio shida zangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ww hujawahi kuambiwa mwanaume humu?? Yani JF mtu chochote anachojisikia kukwambia yy anakwambia.!! Mi nishawazoea na tunataniana sana wala sio shida zangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Nilitaka unijibu wewe mwenyewe bwana siwezi amini mtu mwingine mimi
 
Back
Top Bottom