Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
UkaifelembeAcha kumtisha basi!! Hiyo pisi nataka kupoa nayo πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UkaifelembeAcha kumtisha basi!! Hiyo pisi nataka kupoa nayo πππ
Karibu me ndo handsome kuliko wote incase ukihitaji ma handsomeNimekuwa mfuatiliaji mwezi mzima nimeona na mie nijiunge, rasmiii.
Naombeni mnikaribisheee jamani.
Karibu sana mkuu, kwa namna ya kutumia JF kwa ufasaha zaidi unaweza kuja PM kwanguNimekuwa mfuatiliaji mwezi mzima nimeona na mie nijiunge, rasmiii.
Naombeni mnikaribisheee jamani.
Toa elfu mbili kwanza.unaweza nielezea hat kwa ufup hy platinum
Sio mbaya ukakaribia na pm ya mzee kigogo. Upo wazi 24/7Nimekuwa mfuatiliaji mwezi mzima nimeona na mie nijiunge, rasmiii.
Naombeni mnikaribisheee jamani.
Evelyn Salt ni fundi magari huyu, anakulaga nauli za watu humu hatari πππOgopa huyu Evelyn Salt et al.
Unataka kumkaribisha mjini JfUna elfu mbili hapo nikufanye kuwa platinum member?
Hadi maji aite mma πππUkaifelembe
karibu sana binti yangu
π³π³Acha kumtisha basi!! Hiyo pisi nataka kupoa nayo πππ
Nini wewe unatoa macho?? ππππ³π³
ebu niambie vizur au nimesoma vibaya π³π³Nini wewe unatoa macho?? πππ
ππππ JF hujaizoea??ebu niambie vizur au nimesoma vibaya π³π³
bado bado aseee huo utani pro max πππππππ JF hujaizoea??
Huyo tunataniana bana..!!
Ww hujawahi kuambiwa mwanaume humu?? Yani JF mtu chochote anachojisikia kukwambia yy anakwambia.!! Mi nishawazoea na tunataniana sana wala sio shida zangu πππbado bado aseee huo utani pro max πππ
ππππππNilitaka unijibu wewe mwenyewe bwana siwezi amini mtu mwingine mimiWw hujawahi kuambiwa mwanaume humu?? Yani JF mtu chochote anachojisikia kukwambia yy anakwambia.!! Mi nishawazoea na tunataniana sana wala sio shida zangu πππ