Hodii

sab

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
5,723
Reaction score
4,286
Mpya mpya kabisa anaigia
 
Mbona mwanza kunishtua, au mwataka chakachua hehehe
 
Mie mgeni wa jibu, lakini napata mashaka kama jibu staweza usumbufu wa mgeni. Siunajua mgeni nisawa na kipofu wakati wote ataka kushikwa mkono. Sasa kama jibu hutochoka mapema mpaka mwisho wa safari niambie mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…