Niwasaa tulivu kwangu wa kutenga muda, kwa ajili ya kuchangia na kutoa mawazo yangu ndani ya familia hii ya jamii forum. Tuko pamoja tulikua pamoja nlilipo kua kama guest sasa tutaendelea kua pamoja kama mmoja kati ya member wa familia hii. Nabisha tena, hodii!!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.