Nafrah xana kuungana nanyi.kwan naamin h ni bahar iliyojaa mafanikio na mambo meng mazur.nimejifunza meng mazur na kuelewa mambo meng.Aman iwe nany daima.
Nafrah xana kuungana nanyi.kwan naamin h ni bahar iliyojaa mafanikio na mambo meng mazur.nimejifunza meng mazur na kuelewa mambo meng.Aman iwe nany daima.
Asante mkuu..nijifunze kuandika nini?
Naombeni kujua..ukweli nimeangaika kutafuta ni jinsi gani ya kutumia jf sijafanikiwa.. baada ya utambulisho what next...ili niweze kupost thread na kujangia hoja mbalimbali..naombeni msaada wenu waungwana.