Hodiii watanzania.

Hodiii watanzania.

ndesangao

Senior Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
110
Reaction score
28
Nafrah xana kuungana nanyi.kwan naamin h ni bahar iliyojaa mafanikio na mambo meng mazur.nimejifunza meng mazur na kuelewa mambo meng.Aman iwe nany daima.
 
Nafrah xana kuungana nanyi.kwan naamin h ni bahar iliyojaa mafanikio na mambo meng mazur.nimejifunza meng mazur na kuelewa mambo meng.Aman iwe nany daima.

Karibu sana lakini jifunze kuandika.
 
Nafrah xana kuungana nanyi.kwan naamin h ni bahar iliyojaa mafanikio na mambo meng mazur.nimejifunza meng mazur na kuelewa mambo meng.Aman iwe nany daima.

Karibu JF. Jifunze kuandika kijana.
 
Naombeni kujua..ukweli nimeangaika kutafuta ni jinsi gani ya kutumia jf sijafanikiwa.. baada ya utambulisho what next...ili niweze kupost thread na kujangia hoja mbalimbali..naombeni msaada wenu waungwana.
 
Naombeni kujua..ukweli nimeangaika kutafuta ni jinsi gani ya kutumia jf sijafanikiwa.. baada ya utambulisho what next...ili niweze kupost thread na kujangia hoja mbalimbali..naombeni msaada wenu waungwana.


muone Katavi
 
Last edited by a moderator:
Naombeni kujua..ukweli nimeangaika kutafuta ni jinsi gani ya kutumia jf sijafanikiwa.. baada ya utambulisho what next...ili niweze kupost thread na kujangia hoja mbalimbali..naombeni msaada wenu waungwana.

Mbona rahisi tu kijana,,,,,,,,ulivyoanzisha hii thread ndio na nyingine zinaanzishwa hivyo hivyo,,,
 
Back
Top Bottom