Hodiiii

Hodiiii

Ukiingia tu pita kushoto mita 2 hivi kunja kulia kisha utaona milango mitatu ule wa mwisho paki huko mabegi yako kisha endelea mbele kidogo utatokezea nje ya ua karibu sana
 
Ukiingia tu pita kushoto mita 2 hivi kunja kulia kisha utaona milango mitatu ule wa mwisho paki huko mabegi yako kisha endelea mbele kidogo utatokezea nje ya ua karibu sana
Asante sana ulweso
 
Hii ni ID yako ya ngapi. He umeshaelekezwa PM?
Kama unakujua pm nipm nikupime
 
Karibu mgeni mwenyeji.
Nasubiri nione post yako ya kwanza itahusu nini
 
Kibosho Mango, Mloe, Manushi, Kindi, Kirima Boro, Masherini, Kwa Rafael, Kibosho Road, Kibosho Singa, Kibosho Mweka, Kibosho Central
 
Back
Top Bottom