Hodiiiii

Hodiiiii

Karibu sana Mr Weru.

Kwa niaba ya wana JF wote naomba pia umlete na Mrs. Weru kwenye Forum yetu, MMU kule wanamuhitaji sana.

Na nimekuzawadia rasmi cheo cha Mkuu, ukiona mtu anakuita humu mkuu Mr.Weru, usishangae maana nikikupa cheo humu ndani, hakuna wa kukunyang'anya.
 
Asante Mr Bilionea Asigwa
 
Karibu sana Mr Weru.

Kwa niaba ya wana JF wote naomba pia umlete na Mrs. Weru kwenye Forum yetu, MMU kule wanamuhitaji sana.

Na nimekuzawadia rasmi cheo cha Mkuu, ukiona mtu anakuita humu mkuu Mr.Weru, usishangae maana nikikupa cheo humu ndani, hakuna wa kukunyang'anya.
Daa!! Mbona mm nazeekea humu hunipi cheo? Au kwa vile mm sio wa koromije?
 
Daa!! Mbona mm nazeekea humu hunipi cheo? Au kwa vile mm sio wa koromije?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom