Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa atakufafanulia maana ya BAN, halafu mimi baadae nitakuja na dondoo mbili tatu kuhusu wanaume wa Dar, najua wewe mgeni huyajui haya mambo!Unaonaje ukinifafanulia ww????
Hii sasa sifa. Kila siku wa Dar, nyie wa mkoani vipiJamaa atakufafanulia maana ya BAN, halafu mimi baadae nitakuja na dondoo mbili tatu kuhusu wanaume wa Dar, najua wewe mgeni huyajui haya mambo!
AU vip ?Hizo mbwembwe tu,asante kwa kunipokea
Lazima mgeni wetu apate dondoo mbili tatu kuhusu wanaume wa Dar!..... Mgeni wetu ana haki ya kupata kinachoendelea hapa nchini!!Hii sasa sifa. Kila siku wa Dar, nyie wa mkoani vipi
Karibu nikupige BAN.......Vvip
kwani ww wa wapi ?Funguka basi,vp kuhusu wanawake wa dar?????