Wewe unafikiri huku hakuna dona au?ss wa mikoani ni kama dona
OK POAMm mw.ume wa arusha
Kwani huko mkoani hakuna kiepe yai au acha hizo.Loooooh!!!..... Dar siwezi kuja milele,naogopa kula kiepe yai-tepetepe mkuu!!
Endelea kuishi kwa kukariri.Hata kama lipo mnathubutu kuligusa????
KIBAHAWapi ww?????
MmmmhKipo lkn madenti ndo wanaunga foleni
poa asante kaka, nawe karibu kibahaKaribu arusha....Mji wenye maisha magumu.
Ongeza bitoz,jichawi,rubbyMuda si mrefu utamjua Mshana Jr
Huu mwandiko mbona si mgeni naufananisha na mwandiko wa mtu fulani humu...owk karibu sana mkuuVvip