Hodiiiiiii mpaka ndani!

Hodiiiiiii mpaka ndani!

punguza kuwika rafiki ila karibu sabna sana rafiki tena sana wakikuchokoza njoo sema hapa kwangu

Nitafanya hivyo! Mimi nimetoka shamba nshazoea kuwika, Kwani Majogoo ya humu ndani huwa hayawiki?????
 
Last edited by a moderator:
Si ndo hapo! manake Sungura1980 ananiogopesha, hafu ukizingatia kunakua na makubaliano ya wawili tu, sasa huko kwa Kova tutafikaje?

Ile meseji yako kwamba ukiona tu Tetea .........ndio iliniogopesha!Kwamba ukiona tu......!
 
Back
Top Bottom