question marks kibao zimeniganda mi mbona sikuambiwa nije kusema??
Nitafanya hivyo! Mimi nimetoka shamba nshazoea kuwika, Kwani Majogoo ya humu ndani huwa hayawiki?????
lumanyisa acha wivu mda mrefu nakuona rafiki unatafuta we ukichokozwa njoo nikubusu
Kuku wa kisasa huwa hawiki Mkuu, Mimi Kuku wa Kienyeji.
Nitafanya hivyo! Mimi nimetoka shamba nshazoea kuwika, Kwani Majogoo ya humu ndani huwa hayawiki?????
jogoo wa mjini mpaka waguswe ndo wanawika rafiki
Ooh! basi Mimi ni Automatically nikiona Tetea tu..........!
Hahahaaaa! kidonto You made my day,''Ukiona Tetea tu ..........,itabidi tumwambie Kova awe karibu sana na wewe,vinginevyo wake zetu na watoto wetu wamekwisha!
Ooh! basi Mimi ni Automatically nikiona Tetea tu..........!
Jamani mi ni mgeni humu ndani, kukaribishana IMO?
Si ndo hapo! manake Sungura1980 ananiogopesha, hafu ukizingatia kunakua na makubaliano ya wawili tu, sasa huko kwa Kova tutafikaje?
Yani nahisi ulinzi wa kutosha kwa uwepo wako Miss Chagga!
acha hizo bwana mwenzio yuko vizuri usimwaribie
miss chagga hiyo meseji ndio imeniogopesha!Kwamba akiona tu Tetea............!Ooh! basi Mimi ni Automatically nikiona Tetea tu..........!
Si ndo hapo! manake Sungura1980 ananiogopesha, hafu ukizingatia kunakua na makubaliano ya wawili tu, sasa huko kwa Kova tutafikaje?