MOMPRENEUR
Senior Member
- Jun 18, 2016
- 195
- 126
- Thread starter
- #21
shukranilo najua ila wewe unafuata baada yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shukranilo najua ila wewe unafuata baada yeye
ahsanteKaribu jamvin mdau
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] !!tell me if there is any limitation on this.Mara hii tu umeanza kupost?
[emoji5] ahsanteKaribu mwenyeji
achana nao my dia hao mabazazi hapo walipo mate yanawadondoka[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] !!tell me if there is any limitation on this.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umechelewa wewe usione vyaelea.... [emoji35]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Jf bhana..kuna vituko vya kila aina!mtu mwenye KIZIBO ngoja NIKUZIBUE
hao ndo wanajamvi wa mwendokasi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Jf bhana..kuna vituko vya kila aina!
Karibu mkuu,hapa ndio Jfhao ndo wanajamvi wa mwendokasi
Kwavile ID yako inaanza "Chef" basi naomba uwe rafiki yangu chef hadija!ahsanteee
poaaKwavile ID yako inaanza "Chef" basi naomba uwe rafiki yangu chef hadija!
Alhamdullilah!! Mungu anipe nini tena kwa sasa zaidi ya ukaribu na chef hadija... kwa mbaaaaaali ka' naliona biriani la Idd!poaa
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hayaaaaaaAlhamdullilah!! Mungu anipe nini tena kwa sasa zaidi ya ukaribu na chef hadija... kwa mbaaaaaali ka' naliona biriani la Idd!
Basi sawa... tena jirani hapa kesharudi! Ni maarufu hapa mtaani kwa kutengeneza pili pili! Nitakuja na chupa mziiima!![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hayaaaaaa
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kaz kwakooBasi sawa... tena jirani hapa kesharudi! Ni maarufu hapa mtaani kwa kutengeneza pili pili! Nitakuja na chupa mziiima!!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kaz kwakoo
Ahsante kwa kunikumbusha... inaonekana u mwema chef hadija... sina cha kukulipa zaidi ya kuutangazia umma kwamba nakukaribisha mikononi mwangu nami ndie Mwenyeji wako rasmi hapa JF! Sema "Inshallah...!"ucsahau ndizi
in shaa allahAhsante kwa kunikumbusha... inaonekana u mwema chef hadija... sina cha kukulipa zaidi ya kuutangazia umma kwamba nakukaribisha mikononi mwangu nami ndie Mwenyeji wako rasmi hapa JF! Sema "Inshallah...!"