Karibu dear, je unatafuta mchumba au marafiki wa kawaida?
Na mimi sijaowa na inaelekea umejaaliwa kila kila kitu.nimekupenda toka moyoni ni pm number zako za simu.nataka kuowa mwezi wa 7.
Mrsleo vipi unataka kumwozesha nini ?
Wana jamii mm ni mwanachama mpya nahtaji mnikaribishe damaan lv u ol!
Kumpa ushauri
Mgeni ameshakimbia!
Cute naa usijali nina kazi,mshahara milioni 2.5,nina gari 2 nitakupa 1 nina nyumba.alafu ni nina pipe kubwa,yenye nguvu alaf ina joto kali,ha! ha! karibu swt.haya ni pm namba ya simu.
Pipe ya kumwagilia mboga ama ....sijasikia kama anaomba mwenye pipe kubwa teh teh!!!
Ina maanisha unataka kumpa kadi ya mchango wa harusi yako.
Kwa huu uandishi wako huu hapa JF hautadumu...
Am just saying.