Hodini

boyi

New Member
Joined
Jun 21, 2014
Posts
2
Reaction score
0
Mie mgeni nduguzanguni naomba mnikaribishe natuendelee kuwa wote hapa jamvini, nyumbani kwa watu makini. Asanteni.
 
Mie mgeni nduguzanguni naomba mnikaribishe natuendelee kuwa wote hapa jamvini, nyumbani kwa watu makini. Asanteni.

Mzee mimi ni mgeni katika uwanja huu wa JF ila ndo nimejiunga sasa naomba munitambue na kuniunganisha na wana JF hasa kwanye yale mambo ya kikubwa ili niweze kupata uhondo huo tafadhali sana
 
Mzee mimi ni mgeni katika uwanja huu wa JF ila ndo nimejiunga sasa naomba munitambue na kuniunganisha na wana JF hasa kwanye yale mambo ya kikubwa ili niweze kupata uhondo huo tafadhali sana

Duh!!!! Hii kali, yaani ndio kwanza umejiunga halafu unalitaka Jukwaa la Wakubwa. Pole. Karibu JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…