Hofu Al Hilal, J-tano kuweka kambi Lubumbashi kucheza na Mazembe

Hofu Al Hilal, J-tano kuweka kambi Lubumbashi kucheza na Mazembe

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Naam wasudan hali ni tete,wanajua kwamba watapigwa kipigo cha mbwa koko tarehe 8 kama wasudan wenzao zalan lakini wanajikaza tu kisabuni.

Sasa jumatano ya week ijayo wanasafiri kuweka kambi ya muda mfupi lubumbashi na wakiwa huko watacheza na team mbovu ya TP Mazembe.

Hawana tofauti na makolo wao kila siku kusafiri ila wakija taifa Mayelle anawagonga tu

Team kubwa haina haja ya kusafiri na kupaniki labda iamue kucheza na kmc au friends rangers kuchangamsha miguu ila level yake kwa sasa ni kucheza friend matches na teams kama Zamalek, Raja, Berkane.

Poleni sana Al Hilal kwa muhaho huu, pole sana Ibenge kibarua kinaota nyasi soon
hilal.JPG
 
Japokua wewe ni simba.

Ila kuna muda unaongea madini sana.

Nimeipenda sana hii kauli.[emoji116]

"Hawana tofauti na makolo wao kila siku kusafiri ila wakija taifa mayelle anawagonga tu"

Anyways!! Tusubiri tuone hiyo tarehe 08.
 
wacha mara moja kuwang'ong'a utopolo hahahaaa
 
Mechi za Yanga vs Simba na Yanga vs Zalan zimetoa onyo kali kuwa gari ya kusaka makombe ya CAF na Club bingwa ya Dunia imewashwa!

Kocha Prof Nabi aka Ferguson hataki majeraha ya kijinga ya friend matches. Jukumu letu wananchi ni kuwasubiri waarabu na kuwapiga tu maana hakuna namna.

Lete Kisinda tuone waarabu wapi panavuja! Simba tayari tunajua Tshabalala , Onyango na Inonga ni uchochoro zetu!
 
Mechi za Yanga vs Simba na Yanga vs Zalan zimetoa onyo kali kuwa gari ya kusaka makombe ya CAF na Club bingwa ya Dunia imewashwa!

Kocha Prof Nabi aka Ferguson hataki majeraha ya kijinga ya friend matches. Jukumu letu wananchi ni kuwasubiri waarabu na kuwapiga tu maana hakuna namna.

Lete Kisinda tuone waarabu wapi panavuja! Simba tayari tunajua Tshabalala , Onyango na Inonga ni uchochoro zetu!
Uko sahihi
 
hii siyo tetesi team mbovu ya al hilal inaenda kucheza na wabovu wenzao tp mazembe, wanaojua ball wametulia tu avic town wanawachora jinsi jamaa wanavyohaha


hilal.JPG
 
Japokua wewe ni simba.

Ila kuna muda unaongea madini sana.

Nimeipenda sana hii kauli.[emoji116]

"Hawana tofauti na makolo wao kila siku kusafiri ila wakija taifa mayelle anawagonga tu"

Anyways!! Tusubiri tuone hiyo tarehe 08.
Hebu taja mara ya mwisho utopolo kwenda quarter final ya champion league? KUDADADEQ UNAJAMBAJAMBA TUU
 
Siwezi kuwa kolo mimi, hapo hamna cha kusubiri tarehe nane we si unaona al hilal wanavyohaha?

Team inayojiamini haina haja ya friend matches

Kwa hiyo unaona utaratibu wa friend match uliwekwa na vichaa sio??..haya acha wakubwa wajiandae na michuano mikubwa nyie endeleeni kuzurura tu toangoma
 
Yanga bado hajaanza nashindano rasmi, ligi ya ndani, kumfunga simba na kumtoa zalan sio kipimo sahihi kwa Yanga kufanya vizuri kimataifa, kwa mtu mwenye knowledge na mpira lazima atakuwa anatafakari Sana hatma ya Yanga kimataifa cz ile hali ya kusubiri kipindi cha pili wale wasudani energy ikiwa imekata ndio uwafunge ilikuwa unafikilisha Sana ila ngoja tusubiri tuone
 
Watu kama nyie ndo mnasababisha tuongezewe gharama za maisha
 
Back
Top Bottom