Hofu inatawala kuliko uhalisia

Lakini As vita hawana onyango
 
Picha ya chini baada ya andiko lako ni tafsiri kua Yanga inakutesa sana kwa maana ya maandiko yako hayana uhusiano na picha..

Twende kwenye hoja sasa..

As vital kufungwa moja kule Casablanca haina uhusiano wowote na matokeo ya simba dhidi ya wydad katika mechi ya mkondo wa pili kule Morroco.

Ikumbukwe Yanga amemfunga Us Monastir, Monastir amemfunga As Barkane then Barkane amemfunga Wydad CAF super cup.

Hivyo basi haina maana kua Yanga kwasababu amemfunga US Monastir basi anaweza pia kumfunga As Barkane au Wydad kwasababu kwenye mpira kuna factors nyingi.

Finally,hauwezi kwenda peponi bila kufa, hivyo basi pia hauwezi kwenda Semi final kama hutopita robo kwa kumfunga Wydad.
 
Mpira hauna hesabu za hivyo mkuu kwamba kwavile fulani katoa sare au kafungwa goli moja basi na timu fulani kwavile ni bora kuliko fulani basi atashinda tu. Hakuna kitu kama hicho kwenye mpira na kama kipo basi anza kwa kuhofia kitendo cha juzi Wydad kutoka sare ya mbili mbili na timu iliyompiga simba goli tatu tatu
 
Wenye hofu na mechi ya Simba na wydad Ni Yanga, Simba wenyewe wala hawana shaka.

Wanaoongea sana Ni Utopolo.

Km alivyosema , uto wanapenda mechi ndogo ndogo na vitimu dhaifu
 
Umaandazi umekuzidi.

Kimsingi kasema Simba wakikaza inawezekana, kwanini AsVita na ubovu wao walionesha kitu halafu Simba ishindwe.

Ukizingatia Simba Ndiyo timu bora pekee ktk ukanda huu wa mashariki na Kati. Km hutaki hili ulete takwimu.
 
Mechi ya Wydad nmeziangalia nyingi Wydad hii sio ile ya mwaka jana,msimu huu hawana kasi wapo kawaida zile mechi zote na As vita niliangali mechi ya Js kabyile wanashinda 3 nliangalia Wydad wanafungika hawachezi soka la kasi kama Raja kwakua timu yao umri umeenda Raja wanavijana wengi,viungo wao wawili pale kati wana umri wa miaka 30+ ,striker yule msenegal ana mwili jumba na anapenda kugongana kwaio sio wale striker wakutumia akili ambao wanamshinda onyango,simba wanatakiwa watumie nafasi vizuri na kuwakimbiza mechi ya kwa Mkapa,Ubora wa Wydad kwamba wanacheza kikubwa sana na wanajua kutumia nafasi na kama ilivyo timu za kiarabu wakiwa kwao wanabebwa sana kwa mfano ile mechi na JSK goli walikabwa mda wote dkk kama ya 44 unapigwa mpira striker wao msenegal ana control mpira kwa mkono refa anapeta anafunga goli la kwanza,muhimu simba kuwaheshimu Wydad maana hawana mambo mengi wao pasi 3 wapo golini

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Hata Raja alidroo na vipers mliyoipiga nje ndani.
Piga ua galagaza simba havuki
 
Utaonaje kibanzi kwenye jicho la mwenzako wakati una boriti kwenye jicho lako?


Habari ndiyo hiyo!! Hakuna mahali Simba imefungwa 6-0 michuano yoyote ya CAF!!
Mbumbumbu kazi mnayo. Yeye ndio kaanza kunitumia hiyo picha mimi nikamrudishia hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…