Hofu inaturudisha nyuma wengi

Hofu inaturudisha nyuma wengi

Qzam

Member
Joined
Mar 5, 2023
Posts
26
Reaction score
23
Habari jamvini. Nikikuambia Leo Fanya chaguzi ungechagua IPI? Una m2.5 unatakiwa uwekeze. Nunua voda umpe kijana akupe hesabu kila siku 10,000 bila kukosa kwa siku 365.

Njia ya pili uwekeze kwa MTU usiyemjua akupe asilimia 1 kila siku kwa siku 365.

Ungechagua nini, toa sababu ya jibu lako.

Nawasilisha.
 
Ya pili kama ina tekelezeka.

japo hiyo ya pili naona kama unamuumiza huyo unaye mpa hela.
1% ni kubwa kwa kila siku kwa mwaka.
Ni ngumu kukulipa.

yani ndani ya mwaka
umpe mtu 2.5M
arudishe 9.1M

Hapo na yeye awe kanufaika na huo uwekezaji wako.

Mfano
Umempa Usiye Mjua 2.5M
Usiye Mjua kanunua pikipiki
kampata bodaboda muaminifu, hachengeshi analeta kila siku 10,000.
USIYE MJUA HATOWEZA LIPA HATA NUSU YA DENI LAKO.

ili aweze kukulipa, bodaboda itabidi ampe Usiye Mjua 25,000 kila siku.
 
Ya pili kama ina tekelezeka.

japo hiyo ya pili naona kama unamuumiza huyo unaye mpa hela.
1% ni kubwa kwa kila siku kwa mwaka.
Ni ngumu kukulipa.

yani ndani ya mwaka
umpe mtu 2.5M
arudishe 9.1M

Hapo na yeye awe kanufaika na huo uwekezaji wako.

Mfano
Umempa Usiye Mjua 2.5M
Usiye Mjua kanunua pikipiki
kampata bodaboda muaminifu, hachengeshi analeta kila siku 10,000.
USIYE MJUA HATOWEZA LIPA HATA NUSU YA DENI LAKO.

ili aweze kukulipa, bodaboda itabidi ampe Usiye Mjua 25,000 kila siku.
Maisha bora hayapo mbali tatizo hatujui kulenga, tumemfanya dhiki rafiki hatujui kumtenga
 
Boda boda uhakika kama ukipata mtu mwaminifu na mchapa kazi ...
 
Nikikupa m2.5 ungewekeza wapi kati ya hizo mbili??
 
Huyo wa pili ,atashindwa kukulipa hela yako.1% ya 2.5 million, ni 25000 Kwa siku jambo ambalo ni ngumu sana.
Bora ungempa ukasema hata arudishe 5% Kwa mwez,Kwa mwaka faida yako 1,500,000 ,jumlisha mtaji wako 2,500,000 utakuwa na jumla ya 4 millions.
Na yeye angalau atakuwa kashajilipa kwenye huo mtaji wako,maana najua uhakika wa kupata faida 5% Kwa mwezi,ni uhakika kwa mtaji huo.(japo kuna miezi faida itakuwa kubwa zaidi na ndio yeye atajilipa hapo)
Hata mimi ukinipa masharti niliyoyasema ,Kwa mwaka nakurudisha pesa yako,na faida kila mwezi ya 5% nakupa.

Kwa usalama zaidi mpe wa boda boda.usiogope changamoto.
 
Back
Top Bottom