Mangi flani hivi
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 2,026
- 3,107
Salama wakuu,
Ni hofu yangu tu nipo njiani kurudi nikitokea mgombani... Nimekutana na washkaji kibao ambao sio wachaga lakini naona swaga la kwenda kwetu kila krismas limewabamba. Pamoja na hayo wapo Jamaa kibao ambao wameahidi kushiriki krismas ijayo mkoani kili mwakani, baada ya kuvutiwa na namna ambayo tunafanya yetu.
Inawezekana kabisaaaa miaka kadhaa ijayo, huu mkoa ukatangazwa sehemu maalumu ya kusherekea krismas.
Karibuni wakuu.... Huku kwetu hamuibi kitu ila mtatumia na kutuachia maendeleo yetu.
Ni hofu tu.
Ni hofu yangu tu nipo njiani kurudi nikitokea mgombani... Nimekutana na washkaji kibao ambao sio wachaga lakini naona swaga la kwenda kwetu kila krismas limewabamba. Pamoja na hayo wapo Jamaa kibao ambao wameahidi kushiriki krismas ijayo mkoani kili mwakani, baada ya kuvutiwa na namna ambayo tunafanya yetu.
Inawezekana kabisaaaa miaka kadhaa ijayo, huu mkoa ukatangazwa sehemu maalumu ya kusherekea krismas.
Karibuni wakuu.... Huku kwetu hamuibi kitu ila mtatumia na kutuachia maendeleo yetu.
Ni hofu tu.