Hofu wafanyakazi 600 kupoteza ajira Uwanja wa Ndege Zanzibar

Hofu wafanyakazi 600 kupoteza ajira Uwanja wa Ndege Zanzibar

Safi sana

Maana wabongo hatuwezi kufanya

Lolote zaidi ya kuimba na kucheza amapiano na singeli na kukatika mauno,umbea,uchawa sh#z typ

Ova
 
Hapo kuna issue mbili kubwa

Moja: Je ni kweli kuna uhitaji wa wafanyakazi 600 ? Wana Tija ?

Mbili: Kuna umuhimu wa kila kitu kuwapa wageni ?

Hitimisho: Hao wenyeji wafanye ila wafanye kwa tija na mojawapo ya Tija huenda ikawa ni kupunguza wafanyakazi
 
Hapo kuna issue mbili kubwa

Moja: Je ni kweli kuna uhitaji wa wafanyakazi 600 ? Wana Tija ?

Mbili: Kuna umuhimu wa kila kitu kuwapa wageni ?

Hitimisho: Hao wenyeji wafanye ila wafanye kwa tija na mojawapo ya Tija huenda ikawa ni kupunguza wafanyakazi
Hapo kwanza kulikua na hofu ya watu 600 kupoteza kazi katika kampuni mbili zinazotoa huduma za ground handling hapo znz Airpot kampuni ya ZAT na TRANSWOLD ujio wa hao DNATA kampuni zote mbili hizo tayari zimeshapunguza wafanyakazi

Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
 
Hapo kwanza kulikua na hofu ya watu 600 kupoteza kazi katika kampuni mbili zinazotoa huduma za ground handling hapo znz Airpot kampuni ya ZAT na TRANSWOLD ujio wa hao DNATA kampuni zote mbili hizo tayari zimeshapunguza wafanyakazi

Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
Unajua kuna Jambo moja wengi hatujaelewa...; Dunia ya sasa ya automation haiitaji nguvu kazi kwahio watu wataendelea kupoteza kazi kwa kasi sana....

Nini kifanyike ? Issue sio kuachana na ufanisi au kuendelea na kuajiri watu ambao hawana tija (ili mradi tu watu wapate kazi) Bali ni UMMA / JAMII au TAASISI hizi za UMMA kuzalisha kwa wingi kwa manufaa ya Jamii nzima ambayo haina kazi; Unapobinafsisha ili mtu apate profit kile kidogo ambacho kinge-trickle down kwa manufaa ya UMMA kina-trickle down kwa manufaa ya mifuko ya wachache (na hawa wengi hawana ujira hata wa kula kile ambacho hawa wachache wanazalisha)

 
Kitakachotokea hapo ni miongoni mwao watapata na wengine watakosa, kiwewe kinakuja nani atapata na nani atakosa. Wanaweza kuchukuliwa hata zaidi ya 300 katika hiyo 600 na ajira mpya chache zitakuwepo
 
sasa jengo la tatu tu si watoe uwanja mzima kama bara na bandar yote
GIVE IT TO DUBAI
 
Back
Top Bottom