Hofu ya Kenya katika akili za Tanzania

Wewe tu endelea kujiongelesha ongelesha. Leo Laizer kaongeza bilion 4.8 kwenye akaunti
 
Wewe tu endelea kujiongelesha ongelesha. Leo Laizer kaongeza bilion 4.8 kwenye akaunti
Kumbe tulikuwa tunapigwa aise, seems madini yaliyokuwa yanaibiwa ni mengi sana, ndio maana hawa 🐒 wanamchukia Magu.
 
Nadhani wengi wamemshangaa hakuna aliyetegemea hicho alichoandika.
 
WHO ilitangaza march toka kwamba afrika tutaanza kuokota miili ya wapendwa wetu mitaani na majumbani, mpaka sasa ni zaidi ya miezi mitano hapa Tanzania kwa macho yangu sijaona wala kufiwa na ndugu, jirani ama rafiki kwa corona, hata kumwona mpita njia kafa bado sijaona. Na hapa nyumbani Tanzania kwa sasa sioni watu wakinawa mikono wala kuvaa barakoa.

Pia hata baadhi ya Watanzania wenzangu watadhirisha hali ya hapa nyumbani ni salama na shwari kabisa.

Huu ugonjwa ni vita dhidi ya uchumi, iko wakati ukifika muda utathibitisha hilo.
 
Wapumbavu hawa mpaka leo corona bado inawapakata vyuo mnafufungua mwakani wakati wenzetu Tanzania wanakula tu mapindi.
 
Wapumbavu hawa mpaka leo corona bado inawapakata vyuo mnafufungua mwakani wakati wenzetu tz wanakula tu mapindi
Hapa Tanzania kila kitu kinaendelea kama kawaida,shule zote zimefunguliwa,unajua siku hizi ni ulimwengu wa digital kama kungekuwa na lolote habari zingeshafika mitandaoni,najua wakenya wanabisha ubishi tu ila hali halisi wanaijua kwamba mengi ni maigizo ya serikali yao.
 
Mgonjwa akiugua ataenda hospitali na nzuri zaidi hospitali hakuna wagonjwa wa corona. Takwimu zipi zinafichwa. Acha kuwa mtumwa wa Mabeberu wewe
 

Wacha kuwa mjinga tumia ubongo kufikiria, hakuna mtu anayeweza kupona corona kwa kupima tu, fahamu corona kama ilivyo UKIMWI, watu hupima ili kujua hali yao na kuchukua hatua za kujilinda na kulinda wanaowapenda, imebainika corona inaua sana au kuwatesa sana watu wenye magonjwa mengine kama kisukari, hivyo ukijua hali yako mapema unamlinda mwenzako mwenye hali nyinginezo.

Dunia yote kila nchi inapima na kutoa taarifa, labda mataifa machache tu kama yenu hiyo iliyojichokea mapema na kutelekeza wanaanchi kila mmoja ahangaike kivyake, hata mataifa sugu wa kuficha data kama Korea Kaskazini kwa hili la corona wamekubali kufuata mbinu za kisayansi, hawajajiingiza kama nyie kwenye kuamini pumba za wanasiasa badala ya kutumia ubongo.
 

WHO walitangaza kwa kuzingatia vigezo vya kisayansi na walikua sahihi, ni ile tu corona haijawa balaa kwa Waafrika maana hata sisi ambao hatujajichokea kama nyie, ambapo tunapima na kusoma takwimu hatujafa sana kihivyo, na sio kwamba kuna lolote la maana tumelifanya Afrika, ni ile tu kimiujiza fulani hivi tumeponea kufa.

Japo pia inasemekana mataifa ambayo watu wake huchanjwa sana dhidi ya maradhi kama homa ya njano wanaonekana kuwa na kinga dhidi ya corona.

Ukweli ni kwamba tuna bahati sana Afrika, na hamna lolote kubwa ambalo yeyote anaweza akajisifia kwamba kafanya dhidi ya corona, ingekua ya kutuua aisei nyie hapo na Burundi mngepukutika hadi balaa maana mlitangulia kujichokea mapema kisa umaskini.
 
Mkuu kwa nini mnatunyooshea vidole, kama sisi tungetangulia ni nini ambacho kingewaacha nyie salama? Hio curfew yenu?

Mkuu tambua ili uweze pambana na maradhi lazima upate mlo bora,kama jibu ni "ndio" umesahau kama kenya mna janga la njaa, nimeona mpaka wanajeshi wenu walikamatwa na camera wanaiba mikate, mligawa chakula cha bure mkaumizana mpaka mkataka na kuuana, je umesahau sisi ndio tunawalisha?kama corona ingeanza na sisi nyinyi ingewachapa mara mbili. So endelea kutuombea mabaya.
 
Just a quick reminder, $100b > $63b
Halafu ajabu kuu huyo mwenye $ 100b watu wake wana njaa kwa kukosa mlo wa siku na ili washibe wanawategemea hao wenye $ 63b watu wake wanashiba.

Kumbuka kuwa mwenye chakula ndiye anayemtawala mwenye njaa. Inakuwaje una $100b huwezi kujilisha na mwenye $ 63b anajilisha na anakulisha hata wewe?

Vv
 

Nilitegemea utakua na uwezo wa kujadili hoja kwa kutumia ubongo, hivi ina maana Tanzania yote hakuna mwenye akili ya kuweza kujadili hili janga la corona, nyote mko hovyoo kiasi hiki.

Kila anayeniquote nafungua nikitazamia nitakuta nondo tujadili nakuta ni mipasho utadhani yuko kwenye vigodoro Tandale. Mpaka sasa hata nimejikuta napuuza sifungui comments ambazo niko quoted maana nyote mumekua level moja.
 
Nahisi kwamba kwa sababu ya nia ya kupata pesa, most of corona. cases are fix in order get more from WHO. Pili, nahisi pia kwamba maadui waTanzania wanatumia Kenya ili kuifikia Tanzania.

Stori za Tanzania kuwa na wagonjwa wa covid-19 ni za kitambo sana. Hata Zambia waliwahi kutangaza kwamba WaTz wanaanguka barabarani na kufa kwa covid-19 na gali ni mbaya sana, wakati hakuna kitu. Shule na Vyuo vimefunguliwa: hakuna mwalimu wala mwanafunzi aliyepoteza maisha kwa covid-19.

TUACHE MATANI KABISA. TANZANIA NI MFANO WA KUIGWA DUNIANI. Wakenya mjifunze kwa Balozi mpya wa Marekani aliyevua barakoa mbele ya Dr. JPM.
 
Sasa unataka nondo wakati umeleta vijiti!!!!wewe bata kweli.

Corona haina point za kuijadili tokea ijulikane haina tiba rasmi ila kinga tu,embu tuelezee ni kwa jinsi gani mkipima mnakinga wengine?
 
Ni uchambuzi mzuri ambao haujaingiza ushabiki wa vyama vya siasa ndani na hivyo kuufanya kuwa ni moja ya uchambuzi mzuri na makini kati ya chambuzi nzuri zilizowai kutokea hapa JF.

Hongera sana mdogo wangu. Kenya wanashikiwa akili na nchi za magharibi, hawana akili ya kujitegemea na watashuhudia kwa macho yao Tanzania ikiovertake kwa kasi na kuwa dola kuu lenye nguvu Afrika ya mashariki.
 
MK 254 UMEANDIKA UONGO MTUPU.
Ulichoandika hapo ni uongo mtupu bro.

Mimi ni shahidi kuhusu hili na nadhani wapo wengine wanakushangaa kwa kutunga uongo kisha unauandika kwa wino mzito.
Nimesafiri kama wiki tatu zilizopita kuja nchi za magharibi. Nimeshuka kiwanja kimoja kwaajili ya connection. Walikuwepo na watanzania kadhaa ambao pia walikuwa wanaconnect kwenda nchi zingine.

Hakuna mtanzania yeyote anayeogopwa wala kutengwa kwaajili ya uchunguzi wa ziada. Tena habari za Tanzania kuwa haina corona zimesikika sehem nyingi duniani.

Watu wana hamu ya kufika Tanzania kujionea hali ilivyo, watu wanatamani kuwaona watanzania ambao wanatoka nchi isiyo na corona.
Duniani huku Tanzania ni washindi. Tunapata heshima kwa kuwa na uwezo wa kujitegeme kusolve matatizo yetu.

Nyie Wakenya bado mnastruggle kupata uhuru kutoka kwa wazungu ndio maana hamuwezi kuwa na njia zenu isipokuwa kuabudu wasemayo watu wa Magharibi.

ACHA KUTUNGA UONGO.
 
Mimi Niko kwenye hoja...tunajadili hapa issue mbalimbali na hoja mojawapo ni kuhusu nyie wakenya ambao the majority are arogant, jealous, bullish and to a great extent stupid and idiots at the same time...watz hawajataka kwenda nchi nyingine bila sijui kupimwa Corona...the issue ni nyie mnaowawekea ban Watz na ndege zao lakini kwa upumbavu na ujinga wenu mnataka ndege zenu zije TZ ' kwenye corona'...very stupid indeed..TZ tumetumia sayansi kupambana na Corona..we 'activated' our immunity by deciding kuishi na corona kama WHO walivyothibitisha na kuzitaka nchi zote zikubali kwamba ni lazima ziishi na corona..

Tulichukua hatua mapema za kuwaweka watu karantini wanaotoka nje tukasisitiza watu wavae barakoa na kunawa mikono na pia kuji-sanitize...kubwa zaidi tukaongeza na traditional medicine kujifukiza kunywa juice ya limao na tangawizi..sisi hatukufanya ujinga was lockdown Wala mjomba wake na shangazi take lockdown..tukawaondoa hofu wananchi kuhusu corona na wakaendelea kufanya kazi...tunaendelea kumchukua hatua kadhaa..Sasa nyie mnaona wivu kwani maambukizi kwetu yamepungua mno.

Kutangaza takwimu za corona ni ujinga kwani corona haiwezi kwisha kwa kutangaza takwimu...Kama ni kutangaza tangazeni na takwimu za yellow fever, ukimwi, malaria na kadhalika..Wakenya wengi siyo wapumbavu tu Bali wengi wao no wahuni...wakati wa JK Wakenya mulizuia magari yetu yasije Kenya kuchukua abiria na sisi tukazuia ya kwenu mkaanza kulia..Kama ukinipuuza na Mimi nitakupuuza pia...tit for tat...hamwezi kuendelea kuichezea TZ...hakuna Tena...Kila mtu abaki kwake...we don't need arrogant and jealous Kenyans...we don't need you.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…