Hofu ya Kenya katika akili za Tanzania

Hofu ya Kenya katika akili za Tanzania

MK 254 UMEANDIKA UONGO MTUPU.

Ulichoandika hapo ni uongo mtupu bro.

Mimi ni shahidi kuhusu hili na nadhani wapo wengine wanakushangaa kwa kutunga uongo kisha unauandika kwa wino mzito.

Nimesafiri kama wiki tatu zilizopita kuja nchi za magharibi. Nimeshuka kiwanja kimoja kwaajili ya connection. Walikuwepo na watanzania kadhaa ambao pia walikuwa wanaconnect kwenda nchi zingine.

Hakuna mtanzania yeyote anayeogopwa wala kutengwa kwaajili ya uchunguzi wa ziada. Tena habari za Tanzania kuwa haina corona zimesikika sehem nyingi duniani.

Watu wana hamu ya kufika Tanzania kujionea hali ilivyo, watu wanatamani kuwaona watanzania ambao wanatoka nchi isiyo na corona.
Duniani huku Tanzania ni washindi. Tunapata heshima kwa kuwa na uwezo wa kujitegeme kusolve matatizo yetu.

Nyie wakenya bado mnastruggle kupata uhuru kutoka kwa wazungu ndio maana hamuwezi kuwa na njia zenu isipokuwa kuabudu wasemayo watu wa magharibi.

ACHA KUTUNGA UONGO.

Wewe ndiye unakua muongo maana hizi taarifa ziko kwenye websites za wahusika, mimi nimezileta tu, hebu itafute Tanzania kwenye hii link Coronavirus: Countries that need two COVID-19 PCR tests to travel to Dubai list
 
Mimi Niko kwenye hoja...tunajadili hapa issue mbalimbali na hoja mojawapo ni kuhusu nyie wakenya ambao the majority are arogant, jealous, bullish and to a great extent stupid and idiots at the same time...watz hawajataka kwenda nchi nyingine bila sijui kupimwa Corona...the issue ni nyie mnaowawekea ban Watz na ndege zao lakini kwa upumbavu na ujinga wenu mnataka ndege zenu zije TZ ' kwenye corona'...very stupid indeed..TZ tumetumia sayansi kupambana na Corona..we 'activated' our immunity by deciding kuishi na corona kama WHO walivyothibitisha na kuzitaka nchi zote zikubali kwamba ni lazima ziishi na corona.

Tulichukua hatua mapema za kuwaweka watu karantini wanaotoka nje tukasisitiza watu wavae barakoa na kunawa mikono na pia kuji-sanitize...kubwa zaidi tukaongeza na traditional medicine kujifukiza kunywa juice ya limao na tangawizi..sisi hatukufanya ujinga was lockdown Wala mjomba wake na shangazi take lockdown..tukawaondoa hofu wananchi kuhusu corona na wakaendelea kufanya kazi...tunaendelea kumchukua hatua kadhaa..Sasa nyie mnaona wivu kwani maambukizi kwetu yamepungua mno...kutangaza takwimu za corona ni ujinga kwani corona haiwezi kwisha kwa kutangaza takwimu.

Kama ni kutangaza tangazeni na takwimu za yellow fever, ukimwi, malaria na kadhalika..Wakenya wengi siyo wapumbavu tu Bali wengi wao no wahuni...wakati wa JK Wakenya mulizuia magari yetu yasije Kenya kuchukua abiria na sisi tukazuia ya kwenu mkaanza kulia..Kama ukinipuuza na Mimi nitakupuuza pia...tit for tat...hamwezi kuendelea kuichezea TZ...hakuna Tena...Kila mtu abaki kwake...we don't need arrogant and jealous Kenyans...we don't need you.

Tumewekea ban mataifa mengi Tanzania ikiwemo, na wote hao hakuna aliyelialia kama nyie, ninyi mnafahamu ban mumewekewa kote kwa ajili ya ujinga wenu wa kugoma kutumia mbinu za kisayansi za kupambana na tatizo la kisayansi, nyote mnapumbazwa na matamko ya wanasiasa et corona imejifia yenyewe, hovyo sana huw mnatia huruma kwa kweli..... hebu ona mpo kwenye lists za wanaotakiwa kupimwa mara mbili maana hamuaminiki kabisa Coronavirus: Countries that need two COVID-19 PCR tests to travel to Dubai list
 
Tumewekea ban mataifa mengi Tanzania ikiwemo, na wote hao hakuna aliyelialia kama nyie, ninyi mnafahamu ban mumewekewa kote kwa ajili ya ujinga wenu wa kugoma kutumia mbinu za kisayansi za kupambana na tatizo la kisayansi, nyote mnapumbazwa na matamko ya wanasiasa et corona imejifia yenyewe, hovyo sana huw mnatia huruma kwa kweli..... hebu ona mpo kwenye lists za wanaotakiwa kupimwa mara mbili maana hamuaminiki kabisa Coronavirus: Countries that need two COVID-19 PCR tests to travel to Dubai list
Hata wangepima mara kumi...to us haituhusu...katika eneo hili la Afrika TZ inazozana na wapumbavu and uncivilized wakenya peke yao...hatuna matatizo na Msumbiji, Zambia, Malawi, DRc, Burundi, Rwanda wala Uganda...ni nyang'au tu peke yao...hatutaki ujinga na ushenzi wa nyang'au..you want to dominate everything..haiwezekani hi ni TZ mpya...Tanzanite ipatikane TZ halafu eti nyang'au aongoze kwa mauzo...no way..tumeweka ukuta..mkipanda ukuta ni risasi tu..eti sisi tuna ng'ombe kuliko nyang'au halafu nyie muwe mbele kusafirisha ngozi...no way..mnanunua kiwanda Cha maziwa kwetu halafu eti maziwa yawe packed in Kenya...ujinga huo hakuna Tena...unasema waTZ wengi wapo Dar hawajafika mikoani..anyway..watu wale wa kibera wanaijua Kenya?
 
Hata wangepima mara kumi...to us haituhusu...katika eneo hili la Afrika TZ inazozana na wapumbavu and uncivilized wakenya peke yao...hatuna matatizo na Msumbiji, Zambia, Malawi, DRc, Burundi, Rwanda wala Uganda...ni nyang'au tu peke yao...hatutaki ujinga na ushenzi wa nyang'au..you want to dominate everything..haiwezekani hi ni TZ mpya...Tanzanite ipatikane TZ halafu eti nyang'au aongoze kwa mauzo...no way..tumeweka ukuta..mkipanda ukuta ni risasi tu..eti sisi tuna ng'ombe kuliko nyang'au halafu nyie muwe mbele kusafirisha ngozi...no way..mnanunua kiwanda Cha maziwa kwetu halafu eti maziwa yawe packed in Kenya...ujinga huo hakuna Tena...unasema waTZ wengi wapo Dar hawajafika mikoani..anyway..watu wale wa kibera wanaijua Kenya?
1596472279350.png
 
Nilitegemea utakua na uwezo wa kujadili hoja kwa kutumia ubongo, hivi ina maana Tanzania yote hakuna mwenye akili ya kuweza kujadili hili janga la corona, nyote mko hovyoo kiasi hiki.

Kila anayeniquote nafungua nikitazamia nitakuta nondo tujadili nakuta ni mipasho utadhani yuko kwenye vigodoro Tandale. Mpaka sasa hata nimejikuta napuuza sifungui comments ambazo niko quoted maana nyote mumekua level moja.
Huna hoja.
 
Leo nimekuta umeniquote mara nyingi umeamka kwa mzuka, are you using words simply because you came across them or you're just trying to remain relevant. How am I on denial, corona is a scientific problem and every nation is dealing with it scientifically, you're the only country in the world that has chosen the path of apathy, completely doing nothing and expending too much energy crying wolf when anyone calls you out.
Scientific my foot, mbona inawachachafya? Mmebaki kama mazezeta.
 
Hizi nguvu mnatumia kuficha udhaifu wenu kwenye suala la corona na kulilia Wakenya, mngezitumia kwa kuhakikisha mnapima na na kutolea taarifa za hali yenu hamngejikuta kwenye hali hii ya kukataliwa na dunia, mtaandika hizi insha mpaka mjaze vitabu vya dunia ila hali ni ile ile, corona ni tatizo la kisayansi na linapaswa kushughulkiwa kisayansi sio kwa matamko ya wanasiasa.

Leo hii Mtanzania ukionyesha paspoti ya Tanzania kwenye uwanja wowote wa ndege jamaa wote ghafla wanavaa barakoa na kujilinda na kukupitishia kwenye ukaguzi wa hali ya juu, hii ramani inaonyesha mlivyotiwa alama nyekundu na kanuni za kuwakagua mara mbili mbili.

Yaani mtelekeze jitihada dhidi ya corona kwa jinsi mlivyojichokea kisha muanze kulazimisha na kung'ang'ania kuingia ndani ya mataifa ya watu.

Kwetu huku njooni tumewaruhusu mje maana mumelia sana ila lazima kila anayefika na paspoti ya Tanzania apanue mdomo hadi jino la mwisho lionekane kisha kifaa cha kupima corona kitumbukizwe humo, ukipita huo mtihani wa kupimwa walau mara mbili kisha utfuatiliwa siku 14, utolee taarifa wapi unakwenda na utaishi kivipi, zikiisha hizo 14 basi hapo unaruhusiwa kujiachia huru na kufurahia maziwa na asali ya Kenya.

Health Alert: U.S. Embassy Dar es Salaam | U.S. Embassy in Tanzania

2473175_20200801_164531.jpg
Ukiachilia mbali ugonjwa huu kuwa wa kimkakati Kuna ishu ya kujiamini na kufanya thamini binafsi. Usiendeshwe Kama muuza gongo.

Unadhani if that corona thing was that bad here ungewaona hao wageni na mabalozi wao wanataradadi tu nchini!? Mbaya zaidi huyo wa marekani ndio hata Barakoa havai na yuko kwenye mikutano!?

Uongo njia yake fupi.. balozi wa Marekani (nchini Kenya) kageuka msemaji wa Kenya juu ya maswala ya utalii[emoji23]. Marekani kawageuza dampo, halafu mnataka ukaka na udada wa Afrika Mashariki.. ili mtuambukize "kujikomba!?"

The One thing you can't take away from real men is "Pride". And as Tanzanians we aren't giving away Ours.
 
Hizi nguvu mnatumia kuficha udhaifu wenu kwenye suala la corona na kulilia Wakenya, mngezitumia kwa kuhakikisha mnapima na na kutolea taarifa za hali yenu hamngejikuta kwenye hali hii ya kukataliwa na dunia, mtaandika hizi insha mpaka mjaze vitabu vya dunia ila hali ni ile ile, corona ni tatizo la kisayansi na linapaswa kushughulkiwa kisayansi sio kwa matamko ya wanasiasa.

Leo hii Mtanzania ukionyesha paspoti ya Tanzania kwenye uwanja wowote wa ndege jamaa wote ghafla wanavaa barakoa na kujilinda na kukupitishia kwenye ukaguzi wa hali ya juu, hii ramani inaonyesha mlivyotiwa alama nyekundu na kanuni za kuwakagua mara mbili mbili.

Yaani mtelekeze jitihada dhidi ya corona kwa jinsi mlivyojichokea kisha muanze kulazimisha na kung'ang'ania kuingia ndani ya mataifa ya watu.

Kwetu huku njooni tumewaruhusu mje maana mumelia sana ila lazima kila anayefika na paspoti ya Tanzania apanue mdomo hadi jino la mwisho lionekane kisha kifaa cha kupima corona kitumbukizwe humo, ukipita huo mtihani wa kupimwa walau mara mbili kisha utfuatiliwa siku 14, utolee taarifa wapi unakwenda na utaishi kivipi, zikiisha hizo 14 basi hapo unaruhusiwa kujiachia huru na kufurahia maziwa na asali ya Kenya.

Health Alert: U.S. Embassy Dar es Salaam | U.S. Embassy in Tanzania

2473175_20200801_164531.jpg
Korona tuwe nayo sisi, kufa mfe ninyi?
Umeelewa ulichokiandika?
Watanzania mnaodai wana corona mbona hawafi?
 
Wewe ndiye unakua muongo maana hizi taarifa ziko kwenye websites za wahusika, mimi nimezileta tu, hebu itafute Tanzania kwenye hii link Coronavirus: Countries that need two COVID-19 PCR tests to travel to Dubai list
Unajidhalilisha kwa kukomaa kunibishia mimi ambaye nimefanya safari nchi za ulaya majuzi na bado nipo huku. Mimi naongelea hali halisi wewe unaongelea maandishi ambayo yanabaki kuwa maandishi na hali halisi ikiendelea kama ilivyo.

Kwa faida yako: Eu Wanatenga mageti ya passsport ya Ulaya na ambazo si za Ulaya.

So nchi nyingine zote isipokuwa Ulaya zinaenda kwenye geti moja ambalo lina wahudumu wengi.

Ikiwa sababu za kutenga mageti huzijui uliza nitakwambia.
 
Hakuna article iliposema TZ itaipiku Kenya,imeeleza economic strategy ya Tz inavyoenda kuathiri Kenya. Ni hivi, hicho Kenya inachofanya haijafanikiwa, that's why we lead in FDI in EA.
Unajidanganya! Which economic strategy? The only strategy you have is fighting Kenya that is why you will never win or amount to anything as long as Kenya is there.

You concentrate on an economic war with Kenya while Kenya builds bilateral trade ties with nations across the world. Kenya has now become the second largest exporter in comesa. You refused to join comesa due to inferiority issues.

Kenya is now the largest exporter in eac, and it will become the third largest exporter in africa once Africa Free trade Agreement is put into action.

How do you possibly hope to overtake Kenya when
i) You do not produce enough electricity,
ii) Your infrastructure is not as developed as Kenya
iii) You have a very negligible private sector that does not contribute much and can not compete with even the Ugandan private sector that is why GOT always has protectionist barriers to even Ugandan products.
iv) Your government lacks the skills and expertise to manage a market driven economy.
v) You do not have the education and skills needed to run an efficient market for the private sector to thrive.
vi) All you export apart from resources are low value food crops like maize and beans which bring in very little in terms of money.

Among many other reasons which make your country very unattractive to investors outside the mining and extraction industry.

Also stop lying Tanzania does not lead in FDI flows. Kenya led eac in FDI inflow in 2019 with deals worth around $1.8 billion, Uganda followed closely with $1.5 billion, Rwanda with FDI of $1.2 billion and Tanzania was last in eac with inflow of $1.1 billion.
The numbers show investors prefer Uganda and Rwanda to Tanzania.
 
Kenya bila Tz haiwezi kuwepo ila Tz bila kenya tupo imara

Who told you that??

Hakuna taifa yenye inajiweza yenyewe ata huko America lazima wakihitaji usaidizi, wanaomba kutoka inchi ingine. Na Kama hivyo ndivyo Magufuli aliwaambia, amewapoteza
 
Back
Top Bottom