Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,686
- 6,958
Hatari sana hao viumbeWalishawahi kuvamia ndege hao.
Ilikuwa kusanga huko juu ikabidi ifanyike emergency landing
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana hao viumbeWalishawahi kuvamia ndege hao.
Ilikuwa kusanga huko juu ikabidi ifanyike emergency landing
Ni wakati wa vyenye nguvu kuaibishwaDaah nimecheka sana ingekua Afrika wangekuja na maneno ya dharau.
Hii iliwahi kutokea Canada.View attachment 2771374
Wananchi wa Ufaransa pamoja na watalii wanaoitembelea nchi hiyo wanaugulia maumivu baada ya kungátwa na kunguni ambao wamesambaa katika maeneo mengi hasa ya umma.
Kufuatia kuwepo kwa picha mbalimbali za video mitandaoni zikionesha kuwepo kwa wadudu hao hasa katika jiji la Paris kwenye treni za mwendokasi, hospitali, nyumba za sinema na uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Charles-de-Gaulle, Serikali ya Ufaransa imesema inaelekeza juhudi zake katika kupambana na kunguni hao.
"Jimbo linahitaji haraka kuweka mpango wa utekelezaji dhidi ya janga hili wakati Ufaransa inajiandaa kuwa mwenyeji wa michezo ya Olimpiki na Paralympic 2024," ameandika Naibu Meya wa Paris, Emmanuel Gregoire katika barua yake kwa Waziri Mkuu Elisabeth Borne.
ukiwafikinya damu yao inanuka vibaya. Kwanza ni kinyaa kuona kundi la kunguni wamejificha kwenye mpasuko wa godoro au kitanda/kochi. Kiboko yao wavamiwe na kundi kubwa la mende hakuna rangi wataacha kuona. Mende nao wana kero ila kwa kuwakomesha kunguni mende utawapendaAnakimbia balaa Ila wakiwa wengi sasa wanaanza kujionyesha ukiona hadi unaanza kuwaona jua unamfugo wa Jeshi la kunguni mpaka wengine wamekosa pa kujificha
yuko huko anatangaza utalii wetu kwa mbwembwe nyingiITAKUA MWIJAKU HUYO KAENDA NAO [emoji12][emoji12][emoji12]
Amini usiamini, kuna mtu atatengeneza ID mpya kujiita KUNGUNI WA ULAYA
kunguni hana adabu, unakuta mtu ana masofa safi ukikalia tu wanakuibukia na kuanza kukung'ata mchana kweupeKunguni hakai sehemu chafu tu
We humjui huyo mdudu akiingia ameingia.
Hata ikulu anaishi na anatamba vizuri
chawa anapenda mazingira yenye jotojoto la kiumbe anayeishi nae japo wakati mwingine alipo kunguni na chawa yupoHivi mkuu mazingira anayoishi kunguni na chawa ni tofauti?
asipodhibitiwaKunguni hakai sehemu chafu tu
We humjui huyo mdudu akiingia ameingia.
Hata ikulu anaishi na anatamba vizuri
Ndio, chawa anadhibitika kwa usafi ila kunguni huwezi mdhibiti hvo, unaweza ukawa msafi sana ila ukapata mgeni akaja na kunguni, ndo tayari hyo, mpaka utumia dawa kuwaangamiza la sivo watazaana mpaka, na usafi wako, chezea kunguni wewe.Hivi mkuu mazingira anayoishi kunguni na chawa ni tofauti?