Mr Lukwaro
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 359
- 629
- Thread starter
- #101
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata humu Jf wapo, kunguni wa ulayaKumbe kunguni zipo hadi ulaya 😂
basi kuna mwamba hapa anasema anataman kua kunguni ulaya kuliko raia wa tz@kunguni wa ulaya
Ova
hongera kwa kupromote biashara zetu (NDUGU WATEJA BADO HUDUMA ZETU ZINAPATIKANA KWENYE MADUKA YOTE YA OTC HAPA NCHINI KARIBUN ..NAKUSHAURI TUMIA NGAO KWA ULINZI MZUR WEWE NA FAMILIA YKOSina imani na wageni wangu wanaokuja na kulala naona kama wana wadudu wasumbufu, chawa/kunguni. Masela wanaokuja chumbani kwangu na kukalia kitanda nimewaandikia bango usilete kunguni na chawa. Bora upambane na umbu kwa net, kunguni hata uweke net utawaona pakipambazuka wanatambalia net kwenda kupana juu ya net, ukiwaacha wataongezeka na utaibika kwa kuishi na wadudu hao wenye kukupa sifa ya uchafu. Kiboko yao ilikuwa dawa ya ngao, iliwateketeza sambamba na mbu pamoja na wadudu wengine watakaogusana na net, we mwenye ukigusana na ngao utahisi mwili unawaka moto, uko karibu na jiko
Haaaaa.Na kweli,nimeona vyombo vya habari wale matianalist wamehusha immigrants ndo wameleta kunguni.Maana waafrica wanakuja kwa Boti kwenye mazingira machafu.
unachekesha, hiyo ngao haipo sokoni na haitengenezwi tenahongera kwa kupromote biashara zetu (NDUGU WATEJA BADO HUDUMA ZETU ZINAPATIKANA KWENYE MADUKA YOTE YA OTC HAPA NCHINI KARIBUN ..NAKUSHAURI TUMIA NGAO KWA ULINZI MZUR WEWE NA FAMILIA YKO
Basi waafrika/watu weusi wanaoishi France watahusishwa!
walianzia huko kwao, wakawaleta enzi za Ukoloni.
Yumo mbona kunguni wa ulaya mwenyewe O.G wa kitambo tu 😀👍🏾Amini usiamini, kuna mtu atatengeneza ID mpya kujiita KUNGUNI WA ULAYA🤣🤣🤣
Nimecheka sana!😂😂🙌Sisi pale Pugu boys tuliwazoea tuu tukawa tunaishi nao
Yani mtu anayemuhuaisha kungunguni na uchafu amevurugwa huyo akishaingia kwenye chaga picha imeisha unaweza hama nyumbaKunguni hakai sehemu chafu tu
We humjui huyo mdudu akiingia ameingia.
Hata ikulu anaishi na anatamba vizuri
Ndio chawa kwenye mwili kunguni kitandani na kwenye nguo ila sana sana kwenye nguo samani... Mishe mishe zao usiku wa giza... Mchana kuwaona ni mara chache sanaHivi mkuu mazingira anayoishi kunguni na chawa ni tofauti?
Mademu wao mbukuyu anafuta tissue huwa zianatoa harufu kama ocean road beachwazungu wachafu sana hawajali usafi
Haha yaani wote ni kumpatia binadamu tafrani tu🤣🤣Ndio chawa kwenye mwili kunguni kitandani na kwenye nguo ila sana sana kwenye nguo samani... Mishe mishe zao usiku wa giza... Mchana kuwaona ni mara chache sana
Haha a small attack retaliated by a massive and horrible attacks 🤣🤣Miezi kama miwili iliyopita nilikua nimekaa kwenye mgahawa mmoja nakula mchana ghafla nikahisi nimeng'atwa na kitu shingoni kushika hivi kunguni huyu hapa
Niliacha kula nikaenda home nikavua nguo zote nikajikagua sikuona kitu,kwavile najua mziki wao nilitoa kitanda nje na godoro na shuka zote nikachukua like sufuria kubwa la kupika kwenye masherehe nikachemsha shuka na kumwagia maji moto kwenye godoro japokuwa sikuona kunguni yeyote
Nilisema mdharau mwiba mguu huota tende
Yule mmoja sikumdharau nilianzisha vita mazima
Waziri wa Elimu wa Ufaransa, Gabriel Attal ametangaza siku ya Ijumaa kuwa nchi hiyo imelazimika kufunga shule saba baada ya kuvamiwa na kunguni ambao wametapakaa kila mahali.
KwishaHaha a small attack retaliated by a massive and horrible attacks 🤣🤣
Wakionekana tena hapo ndani kwako bhasi wamekuamulia mkuu.
kunguni wa ulaya unaitwa huku@kunguni wa ulaya
Ova