Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi, mimi nilikua na mahusiano na binti fulani hivi tuliachana kwa sababu alikua anataka tuishi pamoja na tuzae mtoto wakati kwa kipindi hicho mimi sikua nimesimama kiuchumi nikamwambia kwa sasa sio muda sahihi, nguvu aliyoendelea kuitumia kusisitiza ilo suala nikaona nitafute sababu ya kuachana nae kuliko nianzishe familia wakati sina kitu. Takribani miaka mitatu sasa sina mawasiliano nae wala sijui yuko wapi lakini inawezekana uko alipo kaolewa au kazaa na mtu ambae hakumpendaWanawake tuna tatizo la kufanya uchaguzi tukitaka kuingia katika ndoa
Wanaume wao wanataka mke atakayeweza kuiweka familia pamoja yenye amani na furaha bila kujali muonekano wa mwanamke
Sisi wanawake wengi tunaangalia pesa, urefu ufupi wembamba kitambi ili kuingia kwenye ndoa
Mwisho wa siku tunashtuka kumbe ndoa haihiitaji kitambi urefu ila maelewano upendo wa kweli kushirikiana kua na familia bora.
Vitambi vingi sio vitambin Bali kujaa Kwa mfuko wa kinyesi utumbo mpana!Dah hapo kwenye kitambi wewe acha tu ,wanawake Mungu anawaona
Vitambi vingi sio vitambin Bali kujaa Kwa mfuko wa kinyesi utumbo mpana!
Wenye vitambi wengi wanamatumbo ya wastani tu hata wasifanye mazoezi hawawezi kuwa na vitambi!!
Waepuke kujaza mawanga ya ngano asubuhi kama breakfast!
Wanywe chai isiyo nasukari mapema asubuhi sana vikombe viwili halafu wataenda choo na kumwaga uchafu ulioganda!saa nne wanywe uji kikombe kimoja TU au viwili bas,ikifika saa nane au Saba mchana wale lunch na jioni dinner!asubuhi mwendo ule ule!!!
Sio unapakia chapati mbili na supu asubuhi halafu mchana the same,Bora unywe supu pekee asubuhi Ili ku stimulate digestion!!!
Vitambi vingi ni ujazo wa mavi hakuna kingine!
Uzi ulitakiwa kuishia hapa.Ndio maana tunasema ndoa ni utapeli
Mwanamke anaweza kumpenda sana mwanaume fulani, lakini kama mwanaume huyo hayupo tayari au anasuasua kumuoa ataolewa na mwanaume aliye tayari kumuoa hata kama halikuwa chaguo lake
Wazungu wanasema women marry the available men. When it comes to women, they settle for who's ready not who they love.
Mwanamke anapokukubalia umuoe sio kwamba anakupenda ni utapeli, anaweza kukubalia tu kwa sababu anaona umri umeshasonga amekuwa mshangazi
Love and marriage is two big gap when it comes to women
Kuoa mwanamke mwenye umri kuanzia 27+ ni kumuokoa
Mkuu labda unaongelea wanaofanya kazi ofisini. Hizi pilika pilika zetu za car wash, kubeba mizigo n.k ndo unywe chai tupu, uji au supu tupu mpaka kufikia muda wa lunch si utakua umeanguka kwa kukosa nguvu.Vitambi vingi sio vitambin Bali kujaa Kwa mfuko wa kinyesi utumbo mpana!
Wenye vitambi wengi wanamatumbo ya wastani tu hata wasifanye mazoezi hawawezi kuwa na vitambi!!
Waepuke kujaza mawanga ya ngano asubuhi kama breakfast!
Wanywe chai isiyo nasukari mapema asubuhi sana vikombe viwili halafu wataenda choo na kumwaga uchafu ulioganda!saa nne wanywe uji kikombe kimoja TU au viwili bas,ikifika saa nane au Saba mchana wale lunch na jioni dinner!asubuhi mwendo ule ule!!!
Sio unapakia chapati mbili na supu asubuhi halafu mchana the same,Bora unywe supu pekee asubuhi Ili ku stimulate digestion!!!
Vitambi vingi ni ujazo wa mavi hakuna kingine!
Mbona umeongeza umri.Ndio maana tunasema ndoa ni utapeli
Mwanamke anaweza kumpenda sana mwanaume fulani, lakini kama mwanaume huyo hayupo tayari au anasuasua kumuoa ataolewa na mwanaume aliye tayari kumuoa hata kama halikuwa chaguo lake
Wazungu wanasema women marry the available men. When it comes to women, they settle for who's ready not who they love.
Mwanamke anapokukubalia umuoe sio kwamba anakupenda ni utapeli, anaweza kukubalia tu kwa sababu anaona umri umeshasonga amekuwa mshangazi
Love and marriage is two big gap when it comes to women
Kuoa mwanamke mwenye umri kuanzia 27+ ni kumuokoa
Mkuu, pole kwa kadhia ya kitambo.unaongea kwa huruma sana. Katika Milo Yako mitatu achana na wanga( ngano,sembe nk) badala yake weka matunda hasa yasiyo na sukari mfano tango, parachichi na ongeza protein mfano mayai, nyama na mboga za majani. Kila unaposikia njaa usile kwa kuwa ni asubuhi means break fast waeza kula saa 5 kwa kunywa kikombe Cha kahawa au matunda. Chakula Cha mchana jiopigie heavy meal (protein,matunda na mbogamboga) usiku malizia na matunda, kunywa maji mengi halafu usipende kutafunatafuna / kula vitu vidogovidogo. Wacha a na vitu vya sukari. Zaidi fuata ushauri wa Dr Janabi angalau kwa 50%utaona matokeo. By the way kupungua mwili 80% inaamuriwa na namna unavyokula na 20% ndo mazoez pia fanya detox ya mwili + kufunga.You are what you eatMkuu umechelewa kunipa ushauri
nina kitambii hadi kanisani mchungaji aliniuliza mbona miaka nenda rudi sijifungui?
Nikamwambia sio mimba ni kitambi!
Akaniambia alidhani ni mimba ili tufunge nijifungue salama😥
Hata mihogo na wali?Mkuu, pole kwa kadhia ya kitambo.unaongea kwa huruma sana. Katika Milo Yako mitatu achana na wanga( ngano,sembe nk) badala yake weka matunda hasa yasiyo na sukari mfano tango, parachichi na ongeza protein mfano mayai, nyama na mboga za majani. Kila unaposikia njaa usile kwa kuwa ni asubuhi means break fast waeza kula saa 5 kwa kunywa kikombe Cha kahawa au matunda. Chakula Cha mchana jiopigie heavy meal (protein,matunda na mbogamboga) usiku malizia na matunda, kunywa maji mengi halafu usipende kutafunatafuna / kula vitu vidogovidogo. Wacha a na vitu vya sukari. Zaidi fuata ushauri wa Dr Janabi angalau kwa 50%utaona matokeo. By the way kupungua mwili 80% inaamuriwa na namna unavyokula na 20% ndo mazoez pia fanya detox ya mwili + kufunga.You are what you eat
Yes mihogo pia ni ya kuepuka usile mara kwa mara ila ni mizuri ikifananishwa na waliHata mihogo na wali?
Asante kwa elimu, nitaifanyia kaziYes mihogo pia ni ya kuepuka usile mara kwa mara ila ni mizuri ikifananishwa na wali
Kwani 27+ hawafaiNdio maana tunasema ndoa ni utapeli
Mwanamke anaweza kumpenda sana mwanaume fulani, lakini kama mwanaume huyo hayupo tayari au anasuasua kumuoa ataolewa na mwanaume aliye tayari kumuoa hata kama halikuwa chaguo lake
Wazungu wanasema women marry the available men. When it comes to women, they settle for who's ready not who they love.
Mwanamke anapokukubalia umuoe sio kwamba anakupenda ni utapeli, anaweza kukubalia tu kwa sababu anaona umri umeshasonga amekuwa mshangazi
Love and marriage is two big gap when it comes to women
Kuoa mwanamke mwenye umri kuanzia 27+ ni kumuokoa
Sikupingi umesema vyema mkuuMbona umeongeza umri.
Kuanzia 25 years ni kumuokoa. Unakuwa katika mpango wake wa kustaafu .
Ni mishangazi hiyo mkuuKwani 27+ hawafai
Ndio maana tunasema ndoa ni utapeli
Mwanamke anaweza kumpenda sana mwanaume fulani, lakini kama mwanaume huyo hayupo tayari au anasuasua kumuoa ataolewa na mwanaume aliye tayari kumuoa hata kama halikuwa chaguo lake
Wazungu wanasema women marry the available men. When it comes to women, they settle for who's ready not who they love.
Mwanamke anapokukubalia umuoe sio kwamba anakupenda ni utapeli, anaweza kukubalia tu kwa sababu anaona umri umeshasonga amekuwa mshangazi
Love and marriage is two big gap when it comes to women
Kuoa mwanamke mwenye umri kuanzia 27+ ni kumuok 😊