Hofu ya umri inavyofanya watu wapoteze uhuru wa kuchagua

Hofu ya umri inavyofanya watu wapoteze uhuru wa kuchagua

Wanawake tuna tatizo la kufanya uchaguzi tukitaka kuingia katika ndoa

Wanaume wao wanataka mke atakayeweza kuiweka familia pamoja yenye amani na furaha bila kujali muonekano wa mwanamke

Sisi wanawake wengi tunaangalia pesa, urefu ufupi wembamba kitambi ili kuingia kwenye ndoa
Mwisho wa siku tunashtuka kumbe ndoa haihiitaji kitambi urefu ila maelewano upendo wa kweli kushirikiana kua na familia bora.
Upo sahihi, mimi nilikua na mahusiano na binti fulani hivi tuliachana kwa sababu alikua anataka tuishi pamoja na tuzae mtoto wakati kwa kipindi hicho mimi sikua nimesimama kiuchumi nikamwambia kwa sasa sio muda sahihi, nguvu aliyoendelea kuitumia kusisitiza ilo suala nikaona nitafute sababu ya kuachana nae kuliko nianzishe familia wakati sina kitu. Takribani miaka mitatu sasa sina mawasiliano nae wala sijui yuko wapi lakini inawezekana uko alipo kaolewa au kazaa na mtu ambae hakumpenda
 
Dah hapo kwenye kitambi wewe acha tu ,wanawake Mungu anawaona
Vitambi vingi sio vitambin Bali kujaa Kwa mfuko wa kinyesi utumbo mpana!

Wenye vitambi wengi wanamatumbo ya wastani tu hata wasifanye mazoezi hawawezi kuwa na vitambi!!

Waepuke kujaza mawanga ya ngano asubuhi kama breakfast!

Wanywe chai isiyo nasukari mapema asubuhi sana vikombe viwili halafu wataenda choo na kumwaga uchafu ulioganda!saa nne wanywe uji kikombe kimoja TU au viwili bas,ikifika saa nane au Saba mchana wale lunch na jioni dinner!asubuhi mwendo ule ule!!!

Sio unapakia chapati mbili na supu asubuhi halafu mchana the same,Bora unywe supu pekee asubuhi Ili ku stimulate digestion!!!

Vitambi vingi ni ujazo wa mavi hakuna kingine!
 
😃😃
Vitambi vingi sio vitambin Bali kujaa Kwa mfuko wa kinyesi utumbo mpana!

Wenye vitambi wengi wanamatumbo ya wastani tu hata wasifanye mazoezi hawawezi kuwa na vitambi!!

Waepuke kujaza mawanga ya ngano asubuhi kama breakfast!

Wanywe chai isiyo nasukari mapema asubuhi sana vikombe viwili halafu wataenda choo na kumwaga uchafu ulioganda!saa nne wanywe uji kikombe kimoja TU au viwili bas,ikifika saa nane au Saba mchana wale lunch na jioni dinner!asubuhi mwendo ule ule!!!

Sio unapakia chapati mbili na supu asubuhi halafu mchana the same,Bora unywe supu pekee asubuhi Ili ku stimulate digestion!!!

Vitambi vingi ni ujazo wa mavi hakuna kingine!
 
Ndio maana tunasema ndoa ni utapeli

Mwanamke anaweza kumpenda sana mwanaume fulani, lakini kama mwanaume huyo hayupo tayari au anasuasua kumuoa ataolewa na mwanaume aliye tayari kumuoa hata kama halikuwa chaguo lake

Wazungu wanasema women marry the available men. When it comes to women, they settle for who's ready not who they love.

Mwanamke anapokukubalia umuoe sio kwamba anakupenda ni utapeli, anaweza kukubalia tu kwa sababu anaona umri umeshasonga amekuwa mshangazi

Love and marriage is two big gap when it comes to women

Kuoa mwanamke mwenye umri kuanzia 27+ ni kumuokoa
Uzi ulitakiwa kuishia hapa.
Umemaliza yote Mkuu.
 
Vitambi vingi sio vitambin Bali kujaa Kwa mfuko wa kinyesi utumbo mpana!

Wenye vitambi wengi wanamatumbo ya wastani tu hata wasifanye mazoezi hawawezi kuwa na vitambi!!

Waepuke kujaza mawanga ya ngano asubuhi kama breakfast!

Wanywe chai isiyo nasukari mapema asubuhi sana vikombe viwili halafu wataenda choo na kumwaga uchafu ulioganda!saa nne wanywe uji kikombe kimoja TU au viwili bas,ikifika saa nane au Saba mchana wale lunch na jioni dinner!asubuhi mwendo ule ule!!!

Sio unapakia chapati mbili na supu asubuhi halafu mchana the same,Bora unywe supu pekee asubuhi Ili ku stimulate digestion!!!

Vitambi vingi ni ujazo wa mavi hakuna kingine!
Mkuu labda unaongelea wanaofanya kazi ofisini. Hizi pilika pilika zetu za car wash, kubeba mizigo n.k ndo unywe chai tupu, uji au supu tupu mpaka kufikia muda wa lunch si utakua umeanguka kwa kukosa nguvu.
 
Ndio maana tunasema ndoa ni utapeli

Mwanamke anaweza kumpenda sana mwanaume fulani, lakini kama mwanaume huyo hayupo tayari au anasuasua kumuoa ataolewa na mwanaume aliye tayari kumuoa hata kama halikuwa chaguo lake

Wazungu wanasema women marry the available men. When it comes to women, they settle for who's ready not who they love.

Mwanamke anapokukubalia umuoe sio kwamba anakupenda ni utapeli, anaweza kukubalia tu kwa sababu anaona umri umeshasonga amekuwa mshangazi

Love and marriage is two big gap when it comes to women

Kuoa mwanamke mwenye umri kuanzia 27+ ni kumuokoa
Mbona umeongeza umri.
Kuanzia 25 years ni kumuokoa. Unakuwa katika mpango wake wa kustaafu .
 
Mkuu umechelewa kunipa ushauri

nina kitambii hadi kanisani mchungaji aliniuliza mbona miaka nenda rudi sijifungui?
Nikamwambia sio mimba ni kitambi!
Akaniambia alidhani ni mimba ili tufunge nijifungue salama😥
Mkuu, pole kwa kadhia ya kitambo.unaongea kwa huruma sana. Katika Milo Yako mitatu achana na wanga( ngano,sembe nk) badala yake weka matunda hasa yasiyo na sukari mfano tango, parachichi na ongeza protein mfano mayai, nyama na mboga za majani. Kila unaposikia njaa usile kwa kuwa ni asubuhi means break fast waeza kula saa 5 kwa kunywa kikombe Cha kahawa au matunda. Chakula Cha mchana jiopigie heavy meal (protein,matunda na mbogamboga) usiku malizia na matunda, kunywa maji mengi halafu usipende kutafunatafuna / kula vitu vidogovidogo. Wacha a na vitu vya sukari. Zaidi fuata ushauri wa Dr Janabi angalau kwa 50%utaona matokeo. By the way kupungua mwili 80% inaamuriwa na namna unavyokula na 20% ndo mazoez pia fanya detox ya mwili + kufunga.You are what you eat
 
Mkuu, pole kwa kadhia ya kitambo.unaongea kwa huruma sana. Katika Milo Yako mitatu achana na wanga( ngano,sembe nk) badala yake weka matunda hasa yasiyo na sukari mfano tango, parachichi na ongeza protein mfano mayai, nyama na mboga za majani. Kila unaposikia njaa usile kwa kuwa ni asubuhi means break fast waeza kula saa 5 kwa kunywa kikombe Cha kahawa au matunda. Chakula Cha mchana jiopigie heavy meal (protein,matunda na mbogamboga) usiku malizia na matunda, kunywa maji mengi halafu usipende kutafunatafuna / kula vitu vidogovidogo. Wacha a na vitu vya sukari. Zaidi fuata ushauri wa Dr Janabi angalau kwa 50%utaona matokeo. By the way kupungua mwili 80% inaamuriwa na namna unavyokula na 20% ndo mazoez pia fanya detox ya mwili + kufunga.You are what you eat
Hata mihogo na wali?
 
Ndio maana tunasema ndoa ni utapeli

Mwanamke anaweza kumpenda sana mwanaume fulani, lakini kama mwanaume huyo hayupo tayari au anasuasua kumuoa ataolewa na mwanaume aliye tayari kumuoa hata kama halikuwa chaguo lake

Wazungu wanasema women marry the available men. When it comes to women, they settle for who's ready not who they love.

Mwanamke anapokukubalia umuoe sio kwamba anakupenda ni utapeli, anaweza kukubalia tu kwa sababu anaona umri umeshasonga amekuwa mshangazi

Love and marriage is two big gap when it comes to women

Kuoa mwanamke mwenye umri kuanzia 27+ ni kumuokoa
Kwani 27+ hawafai
 
Ndio maana tunasema ndoa ni utapeli

Mwanamke anaweza kumpenda sana mwanaume fulani, lakini kama mwanaume huyo hayupo tayari au anasuasua kumuoa ataolewa na mwanaume aliye tayari kumuoa hata kama halikuwa chaguo lake

Wazungu wanasema women marry the available men. When it comes to women, they settle for who's ready not who they love.

Mwanamke anapokukubalia umuoe sio kwamba anakupenda ni utapeli, anaweza kukubalia tu kwa sababu anaona umri umeshasonga amekuwa mshangazi

Love and marriage is two big gap when it comes to women

Kuoa mwanamke mwenye umri kuanzia 27+ ni kumuok
😊​
 
Back
Top Bottom