Hofu ya VVU nisaidie


sio kujilinda tu na kuwalinda wengine kama unao
 

hapo penyewe tayari unasomeka umechanganyikiwa
 

waafrika wanapenda sana nyapu, utakuta mtu ana wanawake 6, bado hao wanawake wana watu wao 3, sasa pata jumla hapo mzunguko ulivyo.
 
sio kujilinda tu na kuwalinda wengine kama unao

Ni kweli kabisa mkuu... ila namshukuru mola nipo salama.
Hapa jf mada ikiwa inazungumzia ukimwi kasi ya uchangiaji inapungia sana hivi ni kwa nini!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…