Hofu yangu juu ya kuishi bila mke

Hofu yangu juu ya kuishi bila mke

Habarini familia nina miaka 25, natamani sana kuwa na familia yangu lakini nikizingatia sina fedha yoyote ile nipo natengemea nyumbani kitu kama hicho kinanifanya niwe na hofu hata ya kutafuta mke kwa hofu ya kukosa fedha.

Naombeni kufahamu kama kuna binti yoyote ambaye yupo tayari kuishi maisha kama hayo aje anisaidiee..kunitoa katika hiyo hali.

Kwani muda mwingine ninapokuwa na hasira najichukulia sheria mkononi naombeni msaada wenu
Hakuna binti atakuja ,tafuta kwanza karatasi madada wa leo hawatongozwi wanakuja wenyewe penye uwaridi
 
Habarini familia nina miaka 25, natamani sana kuwa na familia yangu lakini nikizingatia sina fedha yoyote ile nipo natengemea nyumbani kitu kama hicho kinanifanya niwe na hofu hata ya kutafuta mke kwa hofu ya kukosa fedha.

Naombeni kufahamu kama kuna binti yoyote ambaye yupo tayari kuishi maisha kama hayo aje anisaidiee..kunitoa katika hiyo hali.

Kwani muda mwingine ninapokuwa na hasira najichukulia sheria mkononi naombeni msaada wenu
Miaka 25 bado unaishi nyumbani????? Dah sio dhambi lakini jitafakari mi miaka 19 tu niashaondoka kwenda mikoa ya mbali na hadi Leo nadunda na mke na mtoto fresh tu
 
Back
Top Bottom