Hofu yangu juu ya kuishi bila mke

Hakuna binti atakuja ,tafuta kwanza karatasi madada wa leo hawatongozwi wanakuja wenyewe penye uwaridi
 
Miaka 25 bado unaishi nyumbani????? Dah sio dhambi lakini jitafakari mi miaka 19 tu niashaondoka kwenda mikoa ya mbali na hadi Leo nadunda na mke na mtoto fresh tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…