SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Sasa mbona mayowe mengi tulieni tuwaingizie dudu j2.Kwa pira "makande" mlilocheza na singida mjiandae kwa kipigo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona mayowe mengi tulieni tuwaingizie dudu j2.Kwa pira "makande" mlilocheza na singida mjiandae kwa kipigo tu.
Kweli duniani kuna watu wavumilivu aisee na wafia timu, Sasa wewe singida tu imekutoa kamasi mpaka kutegemea mbeleko ya refa mpaka kawapeleka kwenye matuta ndio utawaweza yanga? Unajitoa kabisa ufahamu unapost kitu cha aina hii!Ni picha la kutisha sana muuaji wa jangwani yupo tena kwa ajili ya kazi hiyo.
Hofu kubwa imetanda katika mioyo ya wana jangwani kwa kuwa hawajui hatma yao kwa sasa na wameanza kutumia njia yao maarufu ya kutafuta huruma.
Njia hii ya malalamiko ilifanya waonewe huruma na baadhi ya watu walioamua kujiunga nao.
Mwaka huu ni wa malalamiko sana kwa TFF,serikali,waamuzi,CAF na hata waandishi wa habari wa kimataifa wanaomposti mpinzani.
Poleni sana "utopolo msiyempenda kaja"