Hofu yatanda KKKT Dayosisis ya Mashariki na Pwani, baada ya kumfyeka mchungaji Kimaro, panga la Askofu Malasusa kuwafyeka mchungaji Mbiso na Masai

Hofu yatanda KKKT Dayosisis ya Mashariki na Pwani, baada ya kumfyeka mchungaji Kimaro, panga la Askofu Malasusa kuwafyeka mchungaji Mbiso na Masai

Nani analia. Nakuambia uache uzandiki na uchochezi. Mtu kapewa likizo miezi miwili, na ataripoti makao making baada ya Likizo, wewe unasema panga limemepitia.
Kanisa la KKKT asili yake ni mafarakano, hiyo laana itaendelea kuwatafuna
 
Utakuta hapo chanzo ni mambo ya maslahi aka feza
[emoji1] waamini endeleeni kuhudhuria makanisani mtoe sadaka

Ova
Usharika wa kimara na Kibanda cha mkaa kwa matoleo makubwa hawajambo!

Tena wanajua hadi nyadhifa za waamini wengi tu
 
Back
Top Bottom