Hoja anazoaminia Makamo Mwenyekiti CCM Mzee Wassira dhidi ya Akina LISSU

Hoja anazoaminia Makamo Mwenyekiti CCM Mzee Wassira dhidi ya Akina LISSU

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
LISSU na watu wake wanataka kuleta Vita .

Mabeberu wanawatumia Akina LISSU kuleta Ushoga( anasahau kua CCM haijawah kupinga ushoga hadharani )
Tukiwapa Urais Amani itapotea.

Amani ya Nchi hii tutailinda Kwa gharama zote.

Hao ni vibaka na walopokaji .

Daaah Hivi kabisa kabisa Dola kwamba ilikaa, ikafanya Vetting , ikaja na jibu kua huyu anafaa?. Au kwakua Sasa Dola inaendeshwa na Mkoa wa Mara?.

Soma Pia: Wasira atupa vijembe kwa Chadema, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe

Yaan Akina Dkt Bashiru, Kabudi, Warioba , Mizengo , Hawa wote mliona hawafai?.

Ni Kweli ni Mzee wa zaman, Enzi za Uhuru, anaijua Nchi ILA UKWELI NI KUA NYAKATI NA MAJIRA VINABADILIKA.

Tanzania ya Sasa imejaa Vijana , Wasomi wanahitaji kulishwa Madini sio propaganda

Endeleeni Kukufanya Chama kiwe Cha wazeeew walojichokea, kizidi kupoteza Mvuto Kwa Vijana, wasomi, watu waishio Mijini.

Mzee Wassira atawakamata wale Wazee wa zaman, wanaoamini Amani inaletwa na CCM tu .

Duuh kazi kwelikweli !!.
 
Atoe ushahidi.
Ukiwa na miaka 80 intelligence inakuwa chini sana, japo awareness ni kubwa sana.
 
LISSU na watu wake wanataka kuleta Vita .

Mabeberu wanawatumia Akina LISSU kuleta Ushoga( anasahau kua CCM haijawah kupinga ushoga hadharani )
Tukiwapa Urais Amani itapotea.

Amani ya Nchi hii tutailinda Kwa gharama zote.

Hao ni vibaka na walopokaji .

Daaah Hivi kabisa kabisa Dola kwamba ilikaa, ikafanya Vetting , ikaja na jibu kua huyu anafaa?. Au kwakua Sasa Dola inaendeshwa na Mkoa wa Mara?.

Soma Pia: Wasira atupa vijembe kwa Chadema, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe

Yaan Akina Dkt Bashiru, Kabudi, Warioba , Mizengo , Hawa wote mliona hawafai?.

Ni Kweli ni Mzee wa zaman, Enzi za Uhuru, anaijua Nchi ILA UKWELI NI KUA NYAKATI NA MAJIRA VINABADILIKA.

Tanzania ya Sasa imejaa Vijana , Wasomi wanahitaji kulishwa Madini sio propaganda

Endeleeni Kukufanya Chama kiwe Cha wazeeew walojichokea, kizidi kupoteza Mvuto Kwa Vijana, wasomi, watu waishio Mijini.

Mzee Wassira atawakamata wale Wazee wa zaman, wanaoamini Amani inaletwa na CCM tu .

Duuh kazi kwelikweli !!.
Naamini kwa sasa Vijana wanataka siasa hizo za maji taka. Oneni huko CDM mtu aliyetaka siasa za kistaarabu (Mbowe) alivyonangwa na kuonekana si chochote. Nadhani hata CCM wamefanya jambo zuri kuingiza mtu anayeweza kuendana na siasa wanazotaka Chadema. Maana wanapenda siasa za Lissu za uropokaji kama wasira. Ngoma droo.
 
Naamini kwa sasa Vijana wanataka siasa hizo za maji taka. Oneni huko CDM mtu aliyetaka siasa za kistaarabu (Mbowe) alivyonangwa na kuonekana si chochote. Nadhani hata CCM wamefanya jambo zuri kuingiza mtu anayeweza kuendana na siasa wanazotaka Chadema. Maana wanapenda siasa za Lissu za uropokaji kama wasira. Ngoma droo.
LISSU sio mlopokaji .

Ni MTU asofumbia macho dhuluma, atasema tu
 
LISSU na watu wake wanataka kuleta Vita .

Mabeberu wanawatumia Akina LISSU kuleta Ushoga( anasahau kua CCM haijawah kupinga ushoga hadharani )
Tukiwapa Urais Amani itapotea.

Amani ya Nchi hii tutailinda Kwa gharama zote.

Hao ni vibaka na walopokaji .

Daaah Hivi kabisa kabisa Dola kwamba ilikaa, ikafanya Vetting , ikaja na jibu kua huyu anafaa?. Au kwakua Sasa Dola inaendeshwa na Mkoa wa Mara?.

Soma Pia: Wasira atupa vijembe kwa Chadema, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe

Yaan Akina Dkt Bashiru, Kabudi, Warioba , Mizengo , Hawa wote mliona hawafai?.

Ni Kweli ni Mzee wa zaman, Enzi za Uhuru, anaijua Nchi ILA UKWELI NI KUA NYAKATI NA MAJIRA VINABADILIKA.

Tanzania ya Sasa imejaa Vijana , Wasomi wanahitaji kulishwa Madini sio propaganda

Endeleeni Kukufanya Chama kiwe Cha wazeeew walojichokea, kizidi kupoteza Mvuto Kwa Vijana, wasomi, watu waishio Mijini.

Mzee Wassira atawakamata wale Wazee wa zaman, wanaoamini Amani inaletwa na CCM tu .

Duuh kazi kwelikweli !!.
Tabia za kukumbatia wazee, ccn bwana
 
LISSU na watu wake wanataka kuleta Vita .

Mabeberu wanawatumia Akina LISSU kuleta Ushoga( anasahau kua CCM haijawah kupinga ushoga hadharani )
Tukiwapa Urais Amani itapotea.

Amani ya Nchi hii tutailinda Kwa gharama zote.

Hao ni vibaka na walopokaji .

Daaah Hivi kabisa kabisa Dola kwamba ilikaa, ikafanya Vetting , ikaja na jibu kua huyu anafaa?. Au kwakua Sasa Dola inaendeshwa na Mkoa wa Mara?.

Soma Pia: Wasira atupa vijembe kwa Chadema, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe

Yaan Akina Dkt Bashiru, Kabudi, Warioba , Mizengo , Hawa wote mliona hawafai?.

Ni Kweli ni Mzee wa zaman, Enzi za Uhuru, anaijua Nchi ILA UKWELI NI KUA NYAKATI NA MAJIRA VINABADILIKA.

Tanzania ya Sasa imejaa Vijana , Wasomi wanahitaji kulishwa Madini sio propaganda

Endeleeni Kukufanya Chama kiwe Cha wazeeew walojichokea, kizidi kupoteza Mvuto Kwa Vijana, wasomi, watu waishio Mijini.

Mzee Wassira atawakamata wale Wazee wa zaman, wanaoamini Amani inaletwa na CCM tu .

Duuh kazi kwelikweli !!.
Hoja za 1995 zimerudi upya.
Huku Mwenyekiti akiongea na wazungu tunaambiwa anakuza diplomasia ya uchumi, akisema Makamu anasema wazungu ni Mabeberu.
 
Naamini kwa sasa Vijana wanataka siasa hizo za maji taka. Oneni huko CDM mtu aliyetaka siasa za kistaarabu (Mbowe) alivyonangwa na kuonekana si chochote. Nadhani hata CCM wamefanya jambo zuri kuingiza mtu anayeweza kuendana na siasa wanazotaka Chadema. Maana wanapenda siasa za Lissu za uropokaji kama wasira. Ngoma droo.
Kwahiyo sio chama cha wachaga tena, na sio king'ang'anizi wa madaraka?
 
Hoja za 1995 zimerudi upya.
Huku Mwenyekiti akiongea na wazungu tunaambiwa anakuza diplomasia ya uchumi,
Samia akienda kukopa kwa wazungu tunaambiwa anaifungua nchi.
 
Back
Top Bottom