Actually, kwa mtanzania kuweza kumudu Kiingereza ni kipimo cha uwezo wa juu wa kiakili.
Ndivyo hivyo hivyo, unapomuona mzungu kama Bongozozo anazungumza Kiswahili fasaha, utambue ana uwezo mkubwa wa kumudu lugha (linguistic intelligence).
Kwa mtu goigoi wa akili sio rahisi kumudu lugha ngeni. Ni ngumu sana tena sana.
Ubongo wako unahitaji kuwa sharp kuweza kuchakata lugha mpya usiyoitambua.
Ni cognitive ability ya hali ya juu ya ubongo katika kuchakata mawazo na kuyawakilisha kwa kutumia lugha tofauti tofauti.